Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Ukileta ubishi wa kipumbafff mbele watu international na walioenda shule kama vile wikileaks na American Embassy unaonekana bonge la b.w.e.g.e!
............... Tufanye Makafiri (akina Abdulhalim) wana nongwa naye !:thinking:Anasingiziwa kwa sababu Msilamu
Sadly and regrettably, makafiri na ahl al khitab ndio walivumbua kompyuta unayotumia sio vinginevyo................ Tufanye Makafiri (akina Abdulhalim) wana nongwa naye !:thinking:
Nyerere, Mkapa, Mwinyi a total of 43 years = 745 Secondary schools = 17 per year (Nimetoa 1,000 za mkoloni = 745 / 43 =).
Kikwete, 7 Years = 5,000 Secondary schools = 714 per year.