VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Wakuigwa.... Are you serious.... Yaani machinga, wakulima, wapiga ramri, makahaba, vibaka, wajasiriamali, mahouse girl etc waache kazi zao ili waende kumpongeza mtu... tutafika kweli?, Nchi haijengwi kwa kupongezana bali kwa kuwajibikahongera kijana, hao ndio wakuigwa sio hawa wengine lawama tu mbele