Hapo ndipo unajua usalama wa Taifa unavyofana kazi kwakwani kaenda Ikulu au kakutana wapi na huyo JK hadi waandishi wa habari wakaida hiyo news? Staki kuamini kumbe hata mimi nikitaka kwenda ikulu naanzisha inshu yangu tu nikifika naruhusiwa kuonana na mkulu. kweli ikulu ni ghetto
Wandugu,
Mmeisikia hiyo???? Kuna kijana amesafiri kwa baiskeli kutoka wilayani Geita hadi Ikulu Dar es Salaam kumpongeza mhe. jk kwa kushinda kwa mara nyingine kiti cha urais. ITV wamemwonyesha kijana akiwa anamkabidhi mhe. jk bahasha ya kaki ya A4 sijui ilikuwa na nini ndani yake!!! Vipi wakuu, inaingia akilini hiyo????
Chanzo cha Habari: Taarifa ya Habari ya Saa 2 Usiku.
yote hayo ni mapenzi anampenda rais wake jamani kuweni na nyinyi mfano kama huyu jamaa anavyompenda rais wake
basi usikute ni muuza mayai katoka kitunda eti wanajifanya geita..unafanya mchezo nini kutoka geita kwa baiskeli..hivi jk utaacha uchekibobu na uongo lini???