Kikwete amefanikisha lipi tangu aingie madarakani!?

ha haa haaaaaah,te teh teeeh
NA JUZI TULIKUWA NAE KWENYE BETHDEI YA LO..SA,KATOKA LINDI KASEMA SUPRISE VISIT MKOA WA ARUSHA KUMBE BETHDEI
 
kawaida ya viongozi wa TZ baada ya nyerere ni kuharibu hasa inapokuja awamu ya pili ya uongozi.najua huyu bwana ataendelea lakini namuonea huruma rais atayekuja 2015 kazi atakayokuwa nayo ya kujenga nchi ni kubwa sana.sasa naanza kujua kwanini watu wa pwani wanawadharau sana wakwere.pwani mkwere hata akiwa na PHD ya Neuro Surgery utamjua kwa uswahili wake tu.ovyo kabisa

Sidhani kama kuna sababu ya kumruhusu huyu jamaa aingie second term! Yaani miaka mingine mitano chini ya huyu mswahili!
 
katiba yetu na utaratibu wa uongozi wa juu wa nchi yetu ni ya kupokezana vijiti,

Sasa kipi kigeni kwa Mh.Rais kumalizia kazi aliyoianzisha aliyemtangulia,hata Rais wa awamu ya tatu alimalizia vitu alivyofanya aliyemtangulia,

Jamani watanzania baniani mbaya lakini kiatu chake dawa na pia mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Hata baba wa taifa kuna mambo alimalizia na kuyakuta toka kwa koloni!!!kipi cha ajabu,

embu angalieni accountability and respeonsibility ya watumishi wa umma kwa sasa imeongezeka kwa asilimia fulani.

Ukitaka kujua serikali iliyo madarakani inafanya nini na imefanya nini ,ni vyema ukachua ilani ya uchaguzi(manifesto) na kuona waliahidi nini kwa wakati gani na wamefanya nini kwa wakati wote waliipokuwa madarakani??

i advice my fellows tz citizen not to provoke ,we better sit down and think critically how responsible and accountable our government is, so that we can come up with a better solution during next coming election.

i submitt!!!!!!!!!
 
Ndugu zanguni nimeona sasa nianze kuangalia hii miaka mitano inaishia sioni allicchokifanya rais wetu ukiacha safari za nje za kila siku..labda tusaidiane kwa hili...nimejaribu kuangalia hata miradi ya mikoani kama mmoja wa juzi mradi wa maji...alieenda kufungua lakini umeanzishwa na fisadi BWM.
Chuo kikuu cha DODOMA kakuta BWM akamalizia...kila sehemu yeye anamalizia nini anachoakianzisha yeye mwenyewe awe ameweka pale kwa ajili ya safari na PER DIEM....../

Huoni alichofanya? wee ni pumbavu zaidi. Imasikitisha kuwa senses zako za fahamu zote haIfanui kaZi. Ina maana hata kujinotice kuwa wewe siku hizi unajua kuandika viZuri humu JF sio mafanikio?
KIKWETE KAPIGA KAZI, haina ubishi, kwa mmoja mmoja kama wewe bado 'ombaomba', basi tena haubebeki!
 
katiba yetu na utaratibu wa uongozi wa juu wa nchi yetu ni ya kupokezana vijiti,

Sasa kipi kigeni kwa Mh.Rais kumalizia kazi aliyoianzisha aliyemtangulia,hata Rais wa awamu ya tatu alimalizia vitu alivyofanya aliyemtangulia,

Jamani watanzania baniani mbaya lakini kiatu chake dawa na pia mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Hata baba wa taifa kuna mambo alimalizia na kuyakuta toka kwa koloni!!!kipi cha ajabu,

embu angalieni accountability and respeonsibility ya watumishi wa umma kwa sasa imeongezeka kwa asilimia fulani.

Ukitaka kujua serikali iliyo madarakani inafanya nini na imefanya nini ,ni vyema ukachua ilani ya uchaguzi(manifesto) na kuona waliahidi nini kwa wakati gani na wamefanya nini kwa wakati wote waliipokuwa madarakani??

i advice my fellows tz citizen not to provoke ,we better sit down and think critically how responsible and accountable our government is, so that we can come up with a better solution during next coming election.

i submitt!!!!!!!!!

Mimi binafsi sishangai maana tanzania bado tuna mazuzu wengi sana wafuata mkumbo tu,kwani lowasa atakapoingia madarakani kuna lipi jipya atakalolifanya zaidi ya kuendeleza yale yaliyokwisha anzishwa?
 
Back
Top Bottom