MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
kawaida ya viongozi wa TZ baada ya nyerere ni kuharibu hasa inapokuja awamu ya pili ya uongozi.najua huyu bwana ataendelea lakini namuonea huruma rais atayekuja 2015 kazi atakayokuwa nayo ya kujenga nchi ni kubwa sana.sasa naanza kujua kwanini watu wa pwani wanawadharau sana wakwere.pwani mkwere hata akiwa na PHD ya Neuro Surgery utamjua kwa uswahili wake tu.ovyo kabisa