fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,623
- 8,200
acha uongoChama alishaanzisha....KIKWETE alienda london kuikamata pesa yake......
kuhusu ,monduli ni kweli kina waitara na masai sayore walikuwa wanamdharau sana JK kwa wakimuita NANGA......WAITARA ameshawahi kumnasa vibao....
Nyerere alikuwa hapendi unafiki....ukiona taarifa alipelekewa akazi ignore ..watu wa usalama walishampa taarifa kuwa ni majungu na rais wa nchi hawezi kufanyia kazi majungu....