Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Kwa mujibu wa TBC taifa raisi Kikwete alipokea taarifa ya uchunguzi juu ya Jairo asubuhi ya tarehe 25 na baada ya kuisoma aliamuru Jairo asirudi kazini hadi yeye mwenyewe rais atakapoamua namna muafaka ya kufanya hivo.
Taarifa ya Ikulu inasisitiza kuwa rais hakushinikizwa na mtu yeyote kuamua Jairo asirudi kazini. Itakumbukwa kuwa Luhanjo alikutana na waandishi asubuhi ya tarehe 24 na kutangaza kumrudisha kazini.
Niishie hapo, tu maana nimepata kichefuchefu niliposikia habari hiyo. So ngoja nikatapike kwanza.
Taarifa ya Ikulu inasisitiza kuwa rais hakushinikizwa na mtu yeyote kuamua Jairo asirudi kazini. Itakumbukwa kuwa Luhanjo alikutana na waandishi asubuhi ya tarehe 24 na kutangaza kumrudisha kazini.
Niishie hapo, tu maana nimepata kichefuchefu niliposikia habari hiyo. So ngoja nikatapike kwanza.