JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Tatizo la wanaJF ni ushabiki na sio reality. Kwanza lazima tutambue kuwa Rais ana haki Kikatiba (ambayo tumeiunda sisi wenyewe) kumteua yeyote kuwa waziri. Vilevile Rais ni binadamu kama binadamu mwingine na si malaika. Hata angemteua mjomba wako bado ungesema yule ambaye si mjomba ni mbaya.
Mimi binafsi nampongeza Mhe. RAIS kwa kutuondolea kero ya mawaziri waliochafuliwa na ripoti ya CAG. Pia kwa kuunda Baraza jipya ambalo binafsi najua litafanya kazi ya Watz.
Waziri asiyekuwa na Wizara maalum.
Kwanza, Hii wizara ilikuwepo siku nyingi
Pili, Prof. Mwandosya ni kichwa kila mtu anajua. Ni watu wachache sana ambao katika mfumo wa elimu hawajasoma (Masters) wakaruhusiwa kusomea (Phd), hivyo serikali inataka kumtumia kwa kazi maalum pale Ikulu kwa maendeleo ya Taifa, wala sio kiraka kama wengi mnavyodhani.
Waziri wa Fedha nimeona CV yake anafaa, Manaibu wake wote wazuri mfano huyu mama Janet anafaa sana tuache umimi na majungu
Waziri wa Ujenzi wote tunamjua
Waziri wa Uchukuzi (Dr. Mwakyembe) wote tunamjua
Waziri wa Africa Masharika wote tunamfahamu
Waziri wa Mambo ya Nje wote tunamfahamu
Waziri wa Makazi wote tunamfahamu
Kwa mtazamo wangu asilimia 80% ya mawaziri ni wazuri tuwaache wafanye kazi tusiwakatishe tamaa na kuwatisha kabla ya kazi.
www,
..tatizo ni JK.
..hata angeteua nobel laureates ktk kila wizara haiwezi kusaidia.
..hapa kwa kweli tusubiri tu mpaka 2015 tupate raisi mwingine.