change we need
Member
- Aug 10, 2011
- 81
- 9
mwenzako makamba kaula...mtandao wako bado mdogo dr...
Kikubwa nitakachoki-miss ni Sauti yake ya ukali na Jazba mara anapojibu hoja za Wabunge.
Kwaheri Agrrey Mwanri.
Tatizo la wanaJF ni ushabiki na sio reality. Kwanza lazima tutambue kuwa Rais ana haki Kikatiba (ambayo tumeiunda sisi wenyewe) kumteua yeyote kuwa waziri. Vilevile Rais ni binadamu kama binadamu mwingine na si malaika. Hata angemteua mjomba wako bado ungesema yule ambaye si mjomba ni mbaya.
Mimi binafsi nampongeza Mhe. RAIS kwa kutuondolea kero ya mawaziri waliochafuliwa na ripoti ya CAG. Pia kwa kuunda Baraza jipya ambalo binafsi najua litafanya kazi ya Watz.
Waziri asiyekuwa na Wizara maalum.
Kwanza, Hii wizara ilikuwepo siku nyingi
Pili, Prof. Mwandosya ni kichwa kila mtu anajua. Ni watu wachache sana ambao katika mfumo wa elimu hawajasoma (Masters) wakaruhusiwa kusomea (Phd), hivyo serikali inataka kumtumia kwa kazi maalum pale Ikulu kwa maendeleo ya Taifa, wala sio kiraka kama wengi mnavyodhani.
Waziri wa Fedha nimeona CV yake anafaa, Manaibu wake wote wazuri mfano huyu mama Janet anafaa sana tuache umimi na majungu
Waziri wa Ujenzi wote tunamjua
Waziri wa Uchukuzi (Dr. Mwakyembe) wote tunamjua
Waziri wa Africa Masharika wote tunamfahamu
Waziri wa Mambo ya Nje wote tunamfahamu
Waziri wa Makazi wote tunamfahamu
Kwa mtazamo wangu asilimia 80% ya mawaziri ni wazuri tuwaache wafanye kazi tusiwakatishe tamaa na kuwatisha kabla ya kazi.
muanzisha uzi amekurupuka. Mwandri yupo palepale
what are you saying?agrey mwanri is still there.hi is a good man.
utaendelea kumwona saaaaaaaaaaaaaana. Kwaheri mwenyewe.kikubwa nitakachoki-miss ni sauti yake ya ukali na jazba mara anapojibu hoja za wabunge.
Kwaheri agrrey mwanri.
mkuu kasepeshwaje sijaelewa !
mwanri anaendelea na wadhifa wake kama naibu waziri tamisemi. Ila kwa sasa atakuwa chini ya hawa ghasia! (mwanri chini ya hawa ghasia) kweli dunia imejaa vituko!
Hahaha...kweli Mwanzisha uzi amekurupuka. Nimemsikiliza JK Mwanzo mwisho sikulisikia jina la mwanri. Kama kweli yupo kesho nitakwenda kwa daktari wa Masikio.
mkuu kasepeshwaje sijaelewa !
Kigwagallah alikuwa ana matumain makubwa sana ya kuikamata wizara ya afya kwi! Kwi! Kwi! Kwi!
Mwanri anaendelea na wadhifa wake kama Naibu waziri TAMISEMI. Ila kwa sasa atakuwa chini ya Hawa Ghasia! (Mwanri chini ya Hawa Ghasia) kweli dunia imejaa vituko!
Mimi nilidhani Angalau angepewa uwaziri kamili Huyu jamaa...kumbe bado hajapata admiration ya JK .....inabidi aendelee kupiga kelele zake chini ya Hawa Ghasia