JK hawezi kuapa kwa kutumia Quruan yake ya Kiislamu hata wanasiasa wengi walio Wakristo hawawezi kuthubutu kutumia Biblia.
Kama wapo ni minority few! You know what?
Wengi ya wanasiasa si wakweli wala waaminifu KWASABABU WENGI WAO WANAINGIA KWA KURA ZA WIZI NA UDIKTETA.
Kwa hiyo they are clever enough to know that once they touch those SACRED BOOKS, surely they gonna be punished by the Author of those Books Who is GOD Himself!!!
Hivi wewe unategemea Kikwete ashike msahafu wakti DHAMIRA YAKE INAMSUTA KUWA KAINGIA MADARAKANI KWA KURA ZA WIZI??Hawezi.
Mungu anajua mioyo ya Watu kwa hiyo hawawezi kutumia Biblia or Kuruani.
NI DR.SLAA PEKE YAKE ANGELIWEZA KUAPA KWA KUTUMIA BIBLIA KWASABABU NI MCHA MUNGU!!!!.
Ukisoma thread kama hii, utagundua wazi kabisa kampeni za mwaka huu ziligubigwa na udini wa hali ya juu kuliko uhalisia. Hili lililopandwa uchaguzi huu, litakuwa tayari kuvunwa uchaguzi zijazo. Wapo watu wameathirika na hili na kuiweka CHADEMA hasa kwenye wakati mgumu wa kujinasua na tuhuma za dini.Nisaidieni!!
JK hawezi kuapa kwa kutumia Quruan yake ya Kiislamu hata wanasiasa wengi walio Wakristo hawawezi kuthubutu kutumia Biblia.
Kama wapo ni minority few! You know what?
Wengi ya wanasiasa si wakweli wala waaminifu KWASABABU WENGI WAO WANAINGIA KWA KURA ZA WIZI NA UDIKTETA.
Kwa hiyo they are clever enough to know that once they touch those SACRED BOOKS, surely they gonna be punished by the Author of those Books Who is GOD Himself!!!
Hivi wewe unategemea Kikwete ashike msahafu wakti DHAMIRA YAKE INAMSUTA KUWA KAINGIA MADARAKANI KWA KURA ZA WIZI??Hawezi.
Mungu anajua mioyo ya Watu kwa hiyo hawawezi kutumia Biblia or Kuruani.
NI DR.SLAA PEKE YAKE ANGELIWEZA KUAPA KWA KUTUMIA BIBLIA KWASABABU NI MCHA MUNGU!!!!.
Ukisoma thread kama hii, utagundua wazi kabisa kampeni za mwaka huu ziligubigwa na udini wa hali ya juu kuliko uhalisia. Hili lililopandwa uchaguzi huu, litakuwa tayari kuvunwa uchaguzi zijazo. Wapo watu wameathirika na hili na kuiweka CHADEMA hasa kwenye wakati mgumu wa kujinasua na tuhuma za dini.
Ukweli ni kwamba wale wanaojiita ndio wasomi (maana wengi wanaaccess na internet), wao ndio chanzo cha vurugu zoote. Wanapandikiza chuki mitaani lakini kwenye vurugu wao hawaonekani. Kwa ujumla ni TABIA MBAYA SAANA. Lazima tuanze kubadilika sasa, vinginevyo waliojeruhiwa kwa kampeni za nyumba za IBADA wataamua na wao kulipa kisasi na hapo usalama hautakuwepo tena. Tumemaliza uchaguzi huu 2010 lakini hali ni tete zaidi 2015 km tutaendelea kuamini kuwa mahitaji ya Watanzania ni dini zao na si maendeleo.
Unauliza mitandao ipi? Kwani ulikuwa hupiti JF na ukaona nini kinaendelea? Na mpaka sasa huoni watu wanaandika nini? Kwakifupi, CCM itaendelea kuonekana bora kama kampeni zitakazokuwa zinapigwa zinakuwa zipo kidini. Kwa maana nyingine tusitarajie maendeleo kwa kampeni za aina hii. Wengi kati yetu hatujawahi kufika sehem zenye machafuko zaidi ya kusikia. Pia credibility ya JF inaondoka kama watu wataanza kujadili utendaji au ufanisi kwa kuzingatia dini ya mtu badala ya uwezo wa muhusika.Nime msikia Zitto Kabwe Akiongea na idhaa ya kiswahili ya Ujerumani ,amekiri ya kuwa uchaguzi wa mwaka huu ulitawaliwa sana na udini,hata kwenye mitandao ya internat kulikuwa na ushabiki sana wa kidini,sasa sijui alikuwa ana kusidia mitandao ipi!
Wanasiasa wengi wanashiriki mambo ya nguvu za giza so ni wachache sana wanaoweza kuapa kwa kutumia sacred books!