Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Makufuli watu wanamsifia sana lakini jamaa ni bla bla sana sio mtendaji!
Kazi ya kutengeneza barabara ilifanywa na TANROADS yeye alikuwa kazi yake kuongea tu na kukremisha majina ya vijiji barabara zinapopita.
Labda kitu kikubwa alichofanya kuuza nyumba za serikali.
Jamaa mzuri wa kukremu lakini utendaji hamna!!!
Kazi ya kutengeneza barabara ilifanywa na TANROADS yeye alikuwa kazi yake kuongea tu na kukremisha majina ya vijiji barabara zinapopita.
Labda kitu kikubwa alichofanya kuuza nyumba za serikali.
Jamaa mzuri wa kukremu lakini utendaji hamna!!!