naangalia lowassa hayupo ndani ila pia fisadi rostaam hayupo hadi muda huu nipo mtamboni amemtuma kibaraka wake peter serukamba from kigoma mjini kumchukulia taarifawait for updates
tunaambiwa lowasa yupo ujerumani kwa matibabu ya macho sijui kweli.naangalia lowassa hayupo ndani ila pia fisadi rostaam hayupo hadi muda huu nipo mtamboni amemtuma kibaraka wake peter serukamba from kigoma mjini kumchukulia taarifawait for updates
Lowassa yupo nje ya nchi kwa matibabu ya macho, Rostam sijui lakini wabunge wengi hawapo Dodoma. Nafutialia vikao vya Bunge kupitia TBC na viti vingi havina watu. Lakini mafisadi wabunge ni hao tu? au hata wale wanao kula posho tatu tatu na kujifanya wema kwa wananchi?
mkuu mbona hii ilikuwa kitambo, hayo macho hayajapona na amerudi tena?
Huyu lowassa yupo israel kaenda kupanda milima alioyopanda yesu na nilisafiri nae kwenye ndege moja ya ethiopian.sijui kama kaenda kutibiwa macho ninachojua ni kupanda milima ya yesu .pengine kaenda kutubu hukoLowassa yupo nje ya nchi kwa matibabu ya macho, Rostam sijui lakini wabunge wengi hawapo Dodoma. Nafutialia vikao vya Bunge kupitia TBC na viti vingi havina watu. Lakini mafisadi wabunge ni hao tu? au hata wale wanao kula posho tatu tatu na kujifanya wema kwa wananchi?
leta data zaidi,nasikia kuna mtu anataka kujiuzulu??? sijui ni kweli?