measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Baada ya shughuli za bunge kuahirishwa mchana huu, kuna Kikao cha dharura cha CCM.
My take:
Inaweza ikawa ni njia mojawapo ya kuwapooza wana CCM walioonyesha kuipinga serikali yao, tutegemee nini kwa michango yao katika Kikao cha jioni bunge litakaporejea?
My take:
Inaweza ikawa ni njia mojawapo ya kuwapooza wana CCM walioonyesha kuipinga serikali yao, tutegemee nini kwa michango yao katika Kikao cha jioni bunge litakaporejea?