chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
huko nyuma wametumia njia hii lakini kwa sasa sijui kama itawasaidia
maneno aliyoongea Tundu Lissu ni mazito sana lazima wakae chini wayajadili.
:msela::msela:
yamewabana leo!!
Hiki kiswanglish bana!! Hapa nimetoka kapa!!
maneno aliyoongea Tundu Lissu ni mazito sana lazima wakae chini wayajadili.
Ngoja nijaribu kurekebisha kidogo, maana hizi lugha bwana za wenyewe.
"My friend it's too late for CCM kuwahi (to catch the)train"
My friend it to late for CCM kuwahi train
Nimeipenda hii.
mimi nafikiri siyo ccm kuikuta treni bali ccm imeshasona mbele haitatokea mkaikuta imenda kama umeme:msela:
Hiki kiswanglish bana!! Hapa nimetoka kapa!!
ndio yupo ameongea mengi mazuri ila lililowachanganya ccm ni alipowambia serikali iliyo chini ya waziri mkuu M. Pinda ni wezi na wanatakiwa kuwajibishwa, na wakwanza kuwajibishwa anatakiwa awe Mizengo pinda kwa kutokusimamia mawaziri wake, na njia ya kumuwajibisha ni kupiga kura za kutokua na imani naye, AKAWAAMBIA WAPINZANI NI WACHACHE CCM NI WENGI NA KWA WINGI WAO WANAWEZA KUMUONDOA WAZIRI MKUU NA MAWAZIRI WEZI MADARAKANI, akawaambia kama kweli ccm wanatetea wananchi wafanye hivyo vinginevyo wasipige kelele za kinafiki bungeni. HUU NI MTIHANI KWA CCM (a) ENDAPO HAWATAMUONDOA PINDA NA MAWAZIRI WEZI hukumu yao ni 2015 (b)je wanauthubutu wa kufanya hvy?Kwani yupo bungeni?
Mwalimu wangu chuoni aliwahi kusema unapoandika/unapoongea broken english, ni sawa na mtu mzima kujamba hadharani. Alitumia neno baya sana nadhan nia yake ilikuwa ni kumfanya mtu anayetumia lugha hii awe makini kwenye kutoa matamshi/kuandika hasa ukizingatia kwamba sio Lugha yetu asilia. Nashauri pia tutumie tu Lugha yetu maana nayo inasifa kubwa tu ya ukimataifa huko nje ya nchi. Sio kuwa ukitumia kiswahili utaonekana haujasoma. Wapo maprofessor wa kichina na kifaransa hawajui kiingereza kabisa so usifkirie usipoongea/kuandika kiingereza utatolewa kwenye tabaka la wasomi.Take it as a challenge and move forward, JF ni jukwaa la kufundishana na kushauriana.My friend it to late for CCM kuwahi train