Kijue Kijiji cha Ikola na watu wake

TUENDELEE,

BALAA LA KWANZA

katika mwambao wa Hilo ziwa hapa kijijini ikola Kuna bandari ndogo ambayo inapokea maboti yalioundwa kwa mbao kwaiyo yakifika hapa ikola yanapakia mizigo ya mazao yanapeleka Congo...Sasa kumbe Hawa watu wanaomiliki haya maboti wanarogana hakuna mfano..boti lako likionekana linafanya kazi Sana linazamishwa kichawi ziwani na upepo maarufu uitwao lukuga.

Sasa Kuna mwamba alipewa laki mbili akachote maji kwenye boti la mfanyabiashara mmoja ili hayo maji yapelekwe kwa mganga...mwamba akachukua dili Hilo huyooo mpaka kwenye boti akachota maji na kuyapeleka kwa aliemuagiza.

Basi baada ya siku mbili yule mwamba alietumwa kuchota maji kwenye boti akaanza kuota kidonda mkononi...baada ya wiki Hali ikawa mbaya...Kijiji hakina huduma ya afya zaidi ya maduka ya dawa tu...ikabidi apelekwe kwa mnganga kufika huko ikaonekana jamaa amerogwa kwa kuchota maji botini...ametibiwa na mnganga ikashindikana Hali yake ikazidi kuwa mbaya..ikabidi ndugu wamtafute mmiliki wa boti wamueze Hali halisi.

Mwenye boti akawaambia kuwa boti lake amelizindika kwa waganga zaidi ya ishirini kutoka kongo...kwaiyo hajui ni dawa za mnganga yupi zimempata ndugu yao..baada ya siku tatu mbele mgonjwa akakata Moto... ITAENDELEA
we nae umezidi kama season za kihindi dk 5 unasubiri muendelezo wiki iyayo
 
TUENDELEE

Kwanza niwatake radhi ndugu zangu, naandika kwenye notipad halafu ndo nahamishia hapa, sasa simu ilijizima kabla sijasevu, ninatumia kitecno kinasumbua kweli.

BALAA LA PILI

Baada ya jamaa kukata moto, ndugu walikaa kikao wakatoka na azimio moja, kwamba kwa yeyote atakayekuwa amehusika na hicho kifo basi hatabaki salama, yeye na ndugu zake hadi mifungo yote wanayomiliki na panya walioko kwenye nyumba zao.
Wakamzika ndugu yao maisha yakawa yanaendelea.

Sasa yule jamaa aliyesema ameenda kwa waganga 20 alikuwa na mke na mtoto mmoja, siku moja wakatoka ili waende kuzunguka mjini, akapita kule kwenye boti yake ili aangalie kama wametia nanga kiusahihi. Mara mtoto akamwambia baba yake kwamba anataka kupanda boti, baba akamwita na mke wake wakaingia ili wazunguke kidogo ziwani. Sasa wakati wamefika mbele akaibuka yule mwamba aliyefariki, akazima injini, yule baba akashtuka, mara mtumbwi ukapigwa ukageuka. Hao wakawa wa kwanza kwenye ile listi.

ITAENDELEA
Itaendelea.....
 
..nimekaa hiko kijiji mwaka jana mwezi wa 8 hd wa 9...

Kwanza siku niliyofika tu sikujua kama ndo nimefka..niliambiwa tu broo ndo tumefika ikola(nikachoka kbsa)

Pili,umeme ulikuwa ushafika ila bdo ulikuwa haujawashwa..duka pekee la vinywaji brd kwa kutumia solar lipo kwa jamaa mmoja anaitwa DIWANI..

Tatu,nilienda ziwani siku moja mida kama ya sa 3 hv asubuh...nikakuta wamama,wadada waliobalehe kbsa wanaogelea wakiwa wamevaa khanga tu na pembeni kuna wanaume wanaendelea na shughuli zao za kuandaa boti kwa ajili ya kuvua jion yake na wala hawana habari..

Nne,Kulikuwa na kombe la N'gombe ambalo lilijumuisha timu kutoka vijiji vyote vya jiran..uwanja unazungushiwa mifuko ya sandarusi then kiingilio 500..na watu wanajaa hatar

Tano,alikuja BROTHER K COMEDIAN..aisee uwanja ulijaa balaa mpk ikabd walinzi washindwe ku handle lile nyomi..na kiingilio kilikuwa 2000 tu..hapo ndo nilipojua kuwa wasanii wanapiga hela sana vijijini...huku mjini tunaona wa kawaida tu

Sita,Kwa mara ya kwanza nilionja supu ya dagaa...mjini kuna supu ya mbuzi,n'gombe na samaki..kule wana supu ya dagaa..ni tamu hatari

Saba,Kuna siku nilienda kijiji cha mbele kidogo ya ikola..aisee kile kijiji kjna sehemu ina muonekano mzuri ajabuu wa ziwa..nikamuuliza mwenyekiti kma naweza kupata kipande cha ardhi..nikaonywesha kipande kina zaidi ya nusu heka kwa laki 1 tu


Nane...Nilienda kutembelea bandari mpya ya KAREMA inapojengwa...aiseee..hii nchi ina miradi mikubwa sana

Tisa,Aisee kuna ndoa za ajabu sana niliziona..yani kule mzee wa miaka 45/50 kuoa mtoto mdogo wa miaka 15 and above ni jambo la kawaida sana..cha msingi awe na uwezo tu wa kuwahonga wazaz wa binti..na mabinti wengi wanazalishwa then mambo yakibadilika wanaume wanawakimbia wanabaki wanahaha tu mtaani..
Kuna siku nilimsaidia mmoja hela ya kula nashangaa kesho yake anakuja na wenzake wawili eti nao niwasaidie...na wote wana watoto!!
we umemaliza?
 
Tunaendelea,,BALAA LA TANO,,Hapa kileji pamoja kuwa ni sehemu ndogo lakini Kuna sehemu ama kijiwe Cha starehe kinaitwa SHILAWADU aisee eneo Hilo sio powa .hapo vurugu zote kwanzia ulevi madawa ya kulevya ndo sehemu yake. ..Hilo eneo bangi Haina thamani,,sigara zenu za embasi,,sijui spoti na esiemu zinachukuliwa Kama takataka ..hapa ikola sigara maarufu na ya kijanja unaitwa SHIKATAA ,,aisee sio vijana sio wazee sio wakina mama sio wasichana wote wanakwambia sigara ni SHIKATAA,,sigara hiyo inatokea kongo huko mzigo huo ni zaidi ya mundende na vumbi la kongo unaambiwa ni BALAA..,,Hilo eneo la SHILAWADU ni noma usishangae kukutana na shangazi yako toka mkoani huko Arusha ,,songea,ama mwanza anajiuza ,,hapo warembo kutoka mikoa yote utawapata na gesti zote Kijiji kizima wamezikodi wao ..Kuna jamaa alikutana na mama yake mdogo kumbe anajiuza huku kwa wavuvi wakati nyumbani huko singida ameaga amekuja kufunga mzigo wa samaki,,hapo SHILAWADU ndani ya ikola pamoja na watu kupiga vinywaji vikali na vya gharama lakini pombe maarufu unaitwa TEVERE. ,,kunywa madude yako yooote Ila Kama hujanywa tevele watu wanakuona unaigiza ....ITAENDELEA.....
 
Tunaendelea,,BALAA LA TANO,,Hapa kileji pamoja kuwa ni sehemu ndogo lakini Kuna sehemu ama kijiwe Cha starehe kinaitwa SHILAWADU aisee eneo Hilo sio powa .hapo vurugu zote kwanzia ulevi madawa ya kulevya ndo sehemu yake. ..Hilo eneo bangi Haina thamani,,sigara zenu za embasi,,sijui spoti na esiemu zinachukuliwa Kama takataka ..hapa ikola sigara maarufu na ya kijanja unaitwa SHIKATAA ,,aisee sio vijana sio wazee sio wakina mama sio wasichana wote wanakwambia sigara ni SHIKATAA,,sigara hiyo inatokea kongo huko mzigo huo ni zaidi ya mundende na vumbi la kongo unaambiwa ni BALAA..,,Hilo eneo la SHILAWADU ni noma usishangae kukutana na shangazi yako toka mkoani huko Arusha ,,songea,ama mwanza anajiuza ,,hapo warembo kutoka mikoa yote utawapata na gesti zote Kijiji kizima wamezikodi wao ..Kuna jamaa alikutana na mama yake mdogo kumbe anajiuza huku kwa wavuvi wakati nyumbani huko singida ameaga amekuja kufunga mzigo wa samaki,,hapo SHILAWADU ndani ya ikola pamoja na watu kupiga vinywaji vikali na vya gharama lakini pombe maarufu unaitwa TEVERE. ,,kunywa madude yako yooote Ila Kama hujanywa tevele watu wanakuona unaigiza ....ITAENDELEA.....
Aisee, SHIKATAA
 
Tunaendelea,,BALAA LA TANO,,Hapa kileji pamoja kuwa ni sehemu ndogo lakini Kuna sehemu ama kijiwe Cha starehe kinaitwa SHILAWADU aisee eneo Hilo sio powa .hapo vurugu zote kwanzia ulevi madawa ya kulevya ndo sehemu yake. ..Hilo eneo bangi Haina thamani,,sigara zenu za embasi,,sijui spoti na esiemu zinachukuliwa Kama takataka ..hapa ikola sigara maarufu na ya kijanja unaitwa SHIKATAA ,,aisee sio vijana sio wazee sio wakina mama sio wasichana wote wanakwambia sigara ni SHIKATAA,,sigara hiyo inatokea kongo huko mzigo huo ni zaidi ya mundende na vumbi la kongo unaambiwa ni BALAA..,,Hilo eneo la SHILAWADU ni noma usishangae kukutana na shangazi yako toka mkoani huko Arusha ,,songea,ama mwanza anajiuza ,,hapo warembo kutoka mikoa yote utawapata na gesti zote Kijiji kizima wamezikodi wao ..Kuna jamaa alikutana na mama yake mdogo kumbe anajiuza huku kwa wavuvi wakati nyumbani huko singida ameaga amekuja kufunga mzigo wa samaki,,hapo SHILAWADU ndani ya ikola pamoja na watu kupiga vinywaji vikali na vya gharama lakini pombe maarufu unaitwa TEVERE. ,,kunywa madude yako yooote Ila Kama hujanywa tevele watu wanakuona unaigiza ....ITAENDELEA.....

Eeh hicho kijiji mbona kama nchi ya kusadikika!
 
DAH MDAU UNANIKUMBUSHA MBALI SANA
NIMIAKA 6 SASA TOKA NIONDOKE IKOLA NIMEKAA IKOLA MIEZI 15 KATIKA HARAKATI ZAMAISHA NAHIZI NDIO KUMBUKUMBU ZANGU:-

-:Wakazi wake niwakarimu sana

-:Mtu namkwewe hawapishani njia moja yn mmoja lazima abadili njia nakama itakua hakuna pakuchepuka yn nilazima wakutane basi kuna kitu wanaita KUSHESHA nihali yakupiga vkofi vdogo vdogo huku unaendelea kubonyea nchini had upige goti nakuna maneno wanaongea kwaunyenyekevu wahali yajuu cjui ndo kabila gan lile

-:Disco ilikua kila jumamos kuna mdau hapo juu amegusia kuhusu ujio wa braza k sasa akat nipo kule alikuja Pembe eeh huyu mchekeshaji mwene lilungu lake nawatu walijaa balaa

-:samaki migebuka utakula hadi watakukinahi utampika kila aina had kuchoma utachoma lkn watakukinahi tu kuna kupindi samaki wanavuliwa kwawingi sana yn kijiji kizima kinanuka samaki yn kila baada yanyunba mbili unakuta wanakausha samaki

-:kipindi natoka ikola umeme wa tanesco ulikua haujafika cjui kwasasa kama umefika, walikua wanatumia umeme wa sola,genereta nakuna jamaa alikua anafua umeme kwakutuma engene ile ya mashine zadiesel izi zakusagia unga ko alikua anaunganishia watu kwa pesa na alikua anawasha mtambo jioni kuanzia sa12 jion hadi sa4 usiku mtambo unazimwa.

-:Mvua zakule znaambatana naradi sana nazan nikwasababu yakuwa pembezoni mwa ziwa tanganyika.
-:kipindi nafika ikola basi lilikua moja tu kuna mdau amelitaja hapo liliitwa kalavashok ilikua inatoka ikola sa11 alfajir nakufika mpanda sa 4 asubuhi nakutoka tena mpanda sa 7,8 au 9 kurud ikola ila baadae iliongezeka haisi moja hiyo ilikua inapishana na basi yn yenyewe ilikua inalala mpanda nakutoka mpanda asubuhi ya sa2 nakufika ikola sa8 thn sa9 inaanza safar yakugeuka mpanda.

-:kipindi natoka ikola kulikua kumeshajegwa mwalo ila ulikua bado haujaanza kutumika cjajua kwasasa vp.

-:Mtandao ulikua washida sana nasikia sasahiv Halotel ndo mkombozi wao binafs nilikua napenda kwenda kupumzika ziwani kwanza kuna upepo mwanana pia kule ziwani ndo mtandao ulikua unashika vzr sana ndani ya Teckno P5 data ilikua inashika vzr sana ukitaka kudanlod au kuperuz kwakurelax bas weshuka ziwani..

-:Kuna mdau hapo amegusia supu ya dagaa ebhana hii kitu nitamu usipime pia ninzur sana kwetu akina baba mana wale dagaa ni orginal yn wanatoka ziwan wanaingia kwene sufuria bila kuingia kwene frij sasa iyo supu uipate asubuhi kwachapat ebhanaee uipige siku 5 bila hujapata pakupunguzia upwilu lazma uchafue mashuka sema uzur mabint wawatu kule hawana hiyana ila inabid uwe namwenyeji wakukusanua kua huyu nimke wamtu ama vp mana wazee wakule nimabingwa wakuoa vibint vidogo kuna mdau hapo juu amegusia kwahivyo hivyo vbint wake zawatu kuna jamaa alikua amekaa najamaa zake wanapiga story kikazuka kimvua cha kiaina tu ikapiga bonge la radi ikampiga jamaa makalioni..

-:Kuna msimu wa mavuno ya ufuta ebhana kipindi hiko ww nahela yako yambuzi utaonekana fala tu mana kuna wasukuma wanashuka huko namabunda yapesa baa zote wanatamba wao tu
Mtu

-:ligi yao kubwa niligi yang'ombe kuna mdau hapo juu amegusia sasa kuna kichekesho kilitokea kipindi nipo kule mzamini alitokomea kusikojulikana ilileta mtafaruku sana namwaka ule ligi ikasimamishwa wakaweka sheria kua mzamini ukitaka kuanzisha ligi shart ng'ombe aonekane kwanza

-:Kulikua na mgambo anaitwa Kagongo ebhana jamaa alikua anaogopeka huyo yn wanakijiji wanakuambia nibora ukutane na poti lakini sio Kagongo

-:watu waikola wanapenda sana midaharo yakidini baina ya waislam nawakristo cjui kama kwasasa wamebadilika
 
Eeh hicho kijiji mbona kama nchi ya kusadikika!
Hicho kijiji kipo mkuu yn nikijiji ila nazan kunahaja yakukipa hazi ya mji mdogo nisehemu imechangamka balaa mishe mishe zake pale sio zakibush bush nizamjini mjini hadi wadada wauzaji pale wapo kipindi chamavuno yampunga/ufuta au kipindi samak wanakufa sana bas nao wanatoka tabora,kigoma kuja kuuza ikola
 
Da ikola.. Nimepamis sana nakumbuka nilimtembelea rafiki yangu twaha wakati wa mavuno ya ufuta nilikua naenda kuuza mwanza.. Ila starehe za huko nilijikuta nakula mtaji wote na vidosho.. Hali ikawa mbaya hapo ndo nilijifunza kupiga makasia nikapata nauli ya kurudi kwetu.. Ila ipo siku ntarudi tena
 
Da ikola.. Nimepamis sana nakumbuka nilimtembelea rafiki yangu twaha wakati wa mavuno ya ufuta nilikua naenda kuuza mwanza.. Ila starehe za huko nilijikuta nakula mtaji wote na vidosho.. Hali ikawa mbaya hapo ndo nilijifunza kupiga makasia nikapata nauli ya kurudi kwetu.. Ila ipo siku ntarudi tena
ulikamata mkweso..pole Sana
 
Back
Top Bottom