S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,703
- 33,084
Acha usengeHamu ya nini mtoto wa kike?
Acha usengeHamu ya nini mtoto wa kike?
Pole sana mkuu,oga maji ya baridi kwanza.Jamani mimi hamu zimenizidi huku njoo endelea
Mademu wa vijijini walivyo wachafu vile halafu uende chumvini?Ungewaambia wakawapeleke watoto waje wenyewe kisha ungewapiga sound ukawavhapa nao wote wawili alafu ukazama chumvin wangeanza kukopa wakuletee ww pesa
Mzuka wa chumvi ukiibuka huangalii mkuu.Mademu wa vijijini walivyo wachafu vile halafu uende chumvini?
Hujitakii mema mkuu!
Ile n ya mwingine kaiendeleza anavyojua yy...Mbona kama balaa la pili halijaisha jamani. 'wakawa wa kwanza kufa kwenye ile list'... means kuna waliofata.
Mbona unatupeleka puta! Woii
Ile n ya mwingine kaiendeleza anavyojua yy...
AiseeTUENDELEE BALAA LA NNE,,hapo kijijini ikola Kuna kituo kidogo Cha polisi..Basi huku na huku akaletwa poti mmoja toka morogoro huko...kufika kileji kakutana na watoto wakitongwe...wakirundi,,kachanganyikiwa yeye haangalii makunyanzi ni mwendo wa kupima oili tu...katembeza ukuni Sana sio Cha MKE wa mtu yeye anaswela tu..huku na huku kapita na MKE wa mzee wa kijijini...mzee kamuita kijana kamuonya,,Sasa kwa kuwa jamaa ni poti akachukulia powa...haikupita raundi...tukaambiwa kuwa poti kaenda mpanda kwa wakubwa zake anataka kuacha Kaz..huku na huku poti karudi kijijini kweli kaacha kazi... mwenyeji wangu akanambia huyo tayari wameshamchawia ...hatujakaa sawa poti namuona ameanza kuzurura ziwan huku kichwani kabeba dishi limejaa vyombo vya kupikia Kama vyote..anaosha vyombo kuanzia asubuhi mpaka saa sita mchana...vyombo vyenyewe hata dakika ishirini huwezi kuzitumia maana ni vichache..akianza kusugua sufuria moja...inaweza chukua saa mzima...watu wakawa wanasema aliambiwa hakusikia hii ndo ikola...INAENDELEA...N.B tuvumiliane naandika kwa kifupi maana visa ni vingi.. na wavivu wa kusoma visa virefu humu ndani ni wengi..
Kama walikufa wote watatu nani alitoa taarifa kuwa mwamba (marehem) aliibuka akazima injini,TUENDELEE
Kwanza niwatake radhi ndugu zangu, naandika kwenye notipad halafu ndo nahamishia hapa, sasa simu ilijizima kabla sijasevu, ninatumia kitecno kinasumbua kweli.
BALAA LA PILI
Baada ya jamaa kukata moto, ndugu walikaa kikao wakatoka na azimio moja, kwamba kwa yeyote atakayekuwa amehusika na hicho kifo basi hatabaki salama, yeye na ndugu zake hadi mifungo yote wanayomiliki na panya walioko kwenye nyumba zao.
Wakamzika ndugu yao maisha yakawa yanaendelea.
Sasa yule jamaa aliyesema ameenda kwa waganga 20 alikuwa na mke na mtoto mmoja, siku moja wakatoka ili waende kuzunguka mjini, akapita kule kwenye boti yake ili aangalie kama wametia nanga kiusahihi. Mara mtoto akamwambia baba yake kwamba anataka kupanda boti, baba akamwita na mke wake wakaingia ili wazunguke kidogo ziwani. Sasa wakati wamefika mbele akaibuka yule mwamba aliyefariki, akazima injini, yule baba akashtuka, mara mtumbwi ukapigwa ukageuka. Hao wakawa wa kwanza kwenye ile listi.
ITAENDELEA
Ha ha ha ha eti kupwekaTUENDELEE,,,,BALAA LA TATU,,miezi ikakata tunaingia msimu wa masika salaleee mvua zikipiga ziwa Tanganyika likawa linarudisha maji kuelekea kwenye makazi ya kijijini...mwenyeji wangu akanambia inabidi tuhame muda wa kufa watu kwa kipindupindu umefika...ndo huku na huku tunajikoki tuhame kipindupindu kikapiga hodi kijijini aiseee watu walikuwa wanazikwa Kila siku ...kumbe huku ikifika masika lazima Kijiji kizima mnapigwa kipapai maana mpaka mm nikapoteza funguo ni kupweka tu...mwenyeji wangu akanipeleka kwa shekhe mmoja nikapigwa kisomo Hali ikawa sawa...watu wa afya wakatinga Kijijini kutoa elimu na kukagua usafi ...wanakuta usafi uko sawa kabisa watu Kama ni vyoo wanavyo...watu wa afya majibu hawana ..ndo bado wanazubaa na wao wakapigwa na kipindupindu...mwenyakiti wa Kijiji akawaambia fanyeni haraka mkaonane na wazee wa Kijiji la sivyo mtafia huku ...wakaenda kuonana na wazee ndo kupona ...nikamuuliza mwenyeji wangu hii ikoje hii...akanambia ziwa lazima litolewe kafara ili samaki na madagaa yaweze kuvuliwa kwa wingi...kwaiyo ukiwa mwepesi unapenda na maji ...ITAENDELEA....