Jamani mimi hamu zimenizidi huku njoo endelea
Dume la dar hilo.Hamu ya nini mtoto wa kike?
Tupo gia namba 3, si haba gari inaenda ila taratibu sanaTUENDELEE
Kwanza niwatake radhi ndugu zangu, naandika kwenye notipad halafu ndo nahamishia hapa, sasa simu ilijizima kabla sijasevu, ninatumia kitecno kinasumbua kweli.
BALAA LA PILI
Baada ya jamaa kukata moto, ndugu walikaa kikao wakatoka na azimio moja, kwamba kwa yeyote atakayekuwa amehusika na hicho kifo basi hatabaki salama, yeye na ndugu zake hadi mifungo yote wanayomiliki na panya walioko kwenye nyumba zao.
Wakamzika ndugu yao maisha yakawa yanaendelea.
Sasa yule jamaa aliyesema ameenda kwa waganga 20 alikuwa na mke na mtoto mmoja, siku moja wakatoka ili waende kuzunguka mjini, akapita kule kwenye boti yake ili aangalie kama wametia nanga kiusahihi. Mara mtoto akamwambia baba yake kwamba anataka kupanda boti, baba akamwita na mke wake wakaingia ili wazunguke kidogo ziwani. Sasa wakati wamefika mbele akaibuka yule mwamba aliyefariki, akazima injini, yule baba akashtuka, mara mtumbwi ukapigwa ukageuka. Hao wakawa wa kwanza kwenye ile listi.
ITAENDELEA
Badili simu Kaka.ivi mim nna MATATIZO gani,nimesoma hii seledi nmjikuta nadindisha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dume la dar hilo.
Kafyono wi alutuifyaHa ha ha ha eti kupweka
Mwakata we chifyono
Mkuu hii kauli yako ni tata..Jamani mimi hamu zimenizidi huku njoo endelea
Wachafu vipi wakati wanaishi ziwani kama fish?Mademu wa vijijini walivyo wachafu vile halafu uende chumvini?
Hujitakii mema mkuu!
Tataitu kalesaawe ningo ulufuta..
sawa mwalimuHaisi
HIACE