Inawezekana mwenzetu macho yake yana makengeza hadi anaona hilo ghorofa ni imara. Hapo si pa kuingia, ni pa kupita ukikimbia.
mkuu ukipewa picha za majumba ya vijijini huko kilimanjaro si utakufa kwa presha?
mkuu ukipewa picha za majumba ya vijijini huko kilimanjaro si utakufa kwa presha?
hilo ghorofa sio imara kabisa si umeona limebend hapo kwenye slab
Hilo ghorofa sio imara kabisa si umeona limebend hapo kwenye slab
Siku likianguka na "kumchania mtu nguo" kama kawaida yetu tutaishushia Serikali lawama utafikiri wanaokaa humo hawaoni kuwa jengo lina matatizo!
Kwa taarifa yako ujenzi wa ghorofa hiyo hautofautiani na mfumo wa ujenzi wa majengo mengi ya zamani yaliyopo Dar es Salaam Ikulu ikiwa moja wapo. Kuna majengo mengi si Tanzania tu, hata mataifa mengine ya Asia, Ulaya na Marekani yalijengwa kwa mtindo huu na yana umri wa zaidi ya karne mbili au tatu na bado yanatumika, hakuna vyuma aina ye yote vilivyotumika hata mapaa yake. Steel truss zilianza kujitokeza mwishoni mwa 1800 AD, ni majengo machache sana yaliyo na mfumo huo.
Sasa jengo hili kwa vile liko kijiji mnalibeza, lakini yaliyoko dar ambayo siku zote tunafanya kazi na kuishi humo hamoni kama ipo siku yatadondoka?
Umetumia nguvu nyingi isivostahili kupinga hoja yangu! Nilichoandika kinahusiana na hoja ya member aliyetangulia kuhusu "ku-bend" kwa gorofa hilo na siyo "ubora" na wala siyo kwa sababu ya kujengwa kwake "kijijini."
Sidhani kama nguvu nyingi, ni kitu cha kawaida kama uwapo kwenye kutetea tesisi yako, jopo la maprofesa likija na hoja ya kutokukubaliana na baadhi ya hoja zako, inabidi ujipange kwa hoja nyingine kujenga utetezi, na ndio ulimwengu wa falsafa ulivyo.
tusubiri siku likiporomoka mtaunda tume ya kuchunguza.Sera nzuri za Chama Cha Mapinduzi.
OTIS
Raha jipe mwenyewe
Nakumbuka nyumba ndogo lakini ya ghorofa ilikuwa katika barabara kati ya Peramiho kwenda Mbinga hivi ndiyo hii? Kuna wakati Rais msaatafu mzee Mwinyi alitoa msaada wa mabati kwa kuwa wakati huo iliezekwa kwa nyasi.