Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
GHOROFA LA KISASA KIJIJINI
Nani amesema ghorofa ni lazima liwe mjini tu? Wilayani Mbinga eneo la kijiji cha Mahande lipo hilo ghorofa ambalo halikuhitaji utaalamu wa wakandarasi kulijenga na liko imara kwelikweli.
MADISHI MANNE NYUMBA MOJA KIJIJINI
Pichani ni nyumba ambayo iko kijijini ikiwa na Satelaiti Dish. Hapa ni nyumba yenye nyungo nne tofauti kwa ajili ya kupata taswira mbalimbali za kidunia kwa kila ungo na kazi yake. Haya ni maendeleo vijijini kwani kwa kuwa na vifaa hivyo ina maana huyu ndugu ni lazima awe na jenereta kwani hapa kijijini hakuna umeme.
Nani amesema ghorofa ni lazima liwe mjini tu? Wilayani Mbinga eneo la kijiji cha Mahande lipo hilo ghorofa ambalo halikuhitaji utaalamu wa wakandarasi kulijenga na liko imara kwelikweli.
MADISHI MANNE NYUMBA MOJA KIJIJINI
Pichani ni nyumba ambayo iko kijijini ikiwa na Satelaiti Dish. Hapa ni nyumba yenye nyungo nne tofauti kwa ajili ya kupata taswira mbalimbali za kidunia kwa kila ungo na kazi yake. Haya ni maendeleo vijijini kwani kwa kuwa na vifaa hivyo ina maana huyu ndugu ni lazima awe na jenereta kwani hapa kijijini hakuna umeme.