Kwani Mkuu wewe huna printer ili ukiprint? Mimi huwa naviprint vingi na kuvigawa. Nawewe kama unaweza fanya ze semu utakuwa umechangia katika kuikomboa nchi hii kutoka kwenye wizi wa akina Lake Oils, ambao saa ya ukombozi ikifika tutawatia mikononi mwa sheria kama watoto wa Saadam, Gadafi na Mubarakh.
sasa utaweza kuburudika vipi ukiwa umelala?Mwanakijiji, kwenye kijalida umesema habari zote ni kwa ajili ya burudani na kuelimishana, <br />
huku unasema ni kuwaamsha watu wasilale tena. which is which?
sasa utaweza kuburudika vipi ukiwa umelala?
Hawa wafanyakazi wa PPF waende tu mahakamani, aka CMA or Commission for Mediation and Arbitration. Hii ni unfair termination
sasa utaweza kuburudika vipi ukiwa umelala?
Kamsaidieni basi rafiki yenu!!Hapo ndo utajua hata ukoloni wa mwanzo uliingia vivyo hivyo kama wa Tripoli, harafu cnn na bbc za wakati huo zikaandika historia eti ya kwamba ma babu zetu walibadirishana kwa kupewa vioo na shanga.
Kuongoza nchi za kiafrika kutoka ktk umasikini kwenda ktk aghalabu hali murua si rahisi, and it is pretty much impossible unless otherwise.
Kanusho: Mawazo yanayonukuliwa hayawakilishiKijarida cha Kumekucha kimetoka kikiwa na habari za kina kuhusu kuanguka kwa Jiji la Tripoli na vile vile kuhusu sakata la kufukuzwa kwa watumishi wa PPF ambao wanadaiwa kuvujisha habari za ufisadi ndani ya Shirika hilo la Pensheni kwa Mashirika ya Umma.