Kijana kuwa makini, wanawake toka katika familia hizi hawafai kwa ndoa

mnaweza kuowana mkaishi pamoja,, lakini ndoa siku zote inachanga moto yake,,, ila kabla ujafanya uwamuzi wa kuowa , tafuta girl ambaye unaona huyu 2taishi kwa amani ana hofu ya mumee, hekima, bisara, na hofu ya mwenyez mungu, pia aliye tayare kukubaliana na aina tatu za family ,,

familia ya wazazi wako , anapotoka yeye na ile mtakayo iyanzisha nyie wawili.

ndo za zamani zilidumu kwasababu kuu moja,, kwanza kabisa mwanamke awe na kipato asiwe nacho hawezi kuwa kutoa sauti kwa mmewee ,, hasa kutokana na jinsi alivyo lelewa katika maadili mazuri,, atampenda mmewee pia nilazima amtii kwa chochote

kwasasa mwanamke awezi kuvulia mateso au vimbwanga vyovyote vile kwa sababu ya kutokuwa na maadili na hasara za mazoea ndani ya nyumba,,, mkimfokea nayeye anafoka, ukilala nje na yeye analala,,

N:B,, kutojishusha na kujifanya mjinga,, ndo source kubwa ndoa nyingi kuvunjika. lkn MTAZAMO WANGU
Anaweza kulelewa vizuri lakini akaharibika ukubwani. kwaushawishi wamashoga .wapo watamwambia unakazi unahelazako unamnyenyekea mwanume wanini shoga tukae tunywe bwana .wapo wengi sana wameharibika .kiufupi mwanamke mwenye kipato nijangatu .
 
Usitarajie kupata mke mwenye tabia nzuri wakati wewe tabia yako si nzuri, familia nyingi huwa wanataka kuwatafutia watoto zao wa kiume wake wenye tabia nzuri ilhali wakijua watoto zao wa kiume wana tabia mbovu.
Nadhani mtoa mada umezungumzia mtoto wa kike aliyelelewa na mama bila ya baba ni hawezi kuwa mke bora, labda kwa mtazamo wako ni kweli lakini kwa mtazamo wangu na experience yangu ni kinyume chake, kwa kweli inategemea na malezi aliyopata huyo binti. Kwa ushauri ni bora uoe kwenye familia iliyo na hali kama yenu au ziliyokaribiana, mke aliyesoma ni mzuri kwani atakuwa mssada mzuri kwa watoto na familia kwa ujumla.
Asante Mkuu, namimi ni mtazamo tu
 
Mi nadhani ninemuelewa anajaribu kuelezea kwenye jamii mambo yamekua kinyume... wanaume wamekua irresponsible kwa asilimia 100.... hajui familia wamekula nini, wanalalaje..michepuko tu ndo kazi yao..sasa wanawake wanabeba majukumu kwa asilimia kubwa sana.. wanakua hawaoni umuhimu wa mume kama she can do kila kitu.. kiukweli mwanamke asiyejiweza kabisa hata kuuza maandazi ndo atabaki... ila hakuna atayevumilia ujinga... zamani atleast wazee wetu walifanya majukumu na waliheshimu wake zao... leo hii hakuna hilo
Umenena
 
Anaweza kulelewa vizuri lakini akaharibika ukubwani. kwaushawishi wamashoga .wapo watamwambia unakazi unahelazako unamnyenyekea mwanume wanini shoga tukae tunywe bwana .wapo wengi sana wameharibika .kiufupi mwanamke mwenye kipato nijangatu .
cku zote lazima mtu uwe na maamuzi yako binafsi. ujitambue wewe kama wewe ata uwe na nacho au usiwe nacho kipato ,. lakini pia kama huna msimamo na maamuzi yako ndo tunasema mtu kuchukua ushauri wa watu tofauti hasa mashoga. ni sumu sana kwenye ndoa, , mwanamke anaye jielewa hawezi kuwa na akili ya kushikiwa hata cku moja
 
cku zote lazima mtu uwe na maamuzi yako binafsi. ujitambue wewe kama wewe ata uwe na nacho au usiwe nacho kipato ,. lakini pia kama huna msimamo na maamuzi yako ndo tunasema mtu kuchukua ushauri wa watu tofauti hasa mashoga. ni sumu sana kwenye ndoa, , mwanamke anaye jielewa hawezi kuwa na akili ya kushikiwa hata cku moja
Mwanamke nimwanamketu .mwanamke mwenye degree anaweza kuchukua ushauri washoga darasa lasaba.amini hivo tunawaona wengi sana .
 
ungelijua usinge kuwa unajitetea.nakupa true story mwanamke hata umpe vyote kama mtoa mada kwenye huu uzi alivo sema kwenye hizo familia alizo taja ni kweli kabisa na nimeshaona wengi hata leo ukitaka njoo nikioneshe jirani yangu anavoteseka
Hasty generalization
 
na kwanini uoe halafu uishi kama bachelor?! hata huyo wa kijijini mwisho wa siku atafanya bora liende naamini ndoa sio kitu cha kutesana na kumfanya mwenzio ajutie. kama bado ubachela haujakuisha ni heri kuumalizia kuliko kukaa kunyanyasa wanawake.
Mkuu, huo ndio utwana wa wanaume wengi...yani bado tuna genes zile za ufalme ufalme na kunyenyekewa....

Sasa inakuwa ngumu ku-copy na mabadiliko ya sasa
 
Tbhh, ni wanaume wachache wanaoishi na wake zao kwa misingi ya utu. Majority wakishaoa, mke kaa tu ndani, na ukubaliane na lolote atakalolifanya, hutakiwi kuondoka coz huna pa kuanzia. Wengi hawataki wanawake independent ili waendelee kuwanyanyasa tu na ahofie kufa njaa kwa sababu ni tegemezi 100%. Mume mpende mkeo kama Kristo anavyolipenda Kanisa lake, na mke mtii mumeo. Sasa kila mume ajiulize je anavyoishi na mkewe ni sawa na Kristo anavyoishi na Kanisa lake? Wengi wanaishi na wake zao kama watumwa zao
Dada nadhani hofu kubwa ni ile kwamba baadhi ya wanawake wakifanikiwa wanajisahau.. dharau na kibur huwa vinaanza ndani ya nyumba
 
habari wapendwa katika bwana? Ni matumaini yangu kuwa hamjambo,bila kupoteza muda naomba niende kwenye hoja yangu

Hivi ñi kwanini ndoa za wazee wetu zilidumu sana na naza vijana wa kileo ni za ndoa Leo, kesho taraka ? Kuna sababu kadha wa kadha za ndoa za wazee wetu kudumu, kwa muda mrefu, kwa Leo napenda kuongelea sababu kuu mbili miongoni mwa sababu nyingi juu ya mada hii.

Wazee wetu kabla ya kuchagua mke wa kuoa waliangalia aina ya familia ambapo posa itapelekwa kukiwa na sababu lukuki juu ya uchaguzi wa familia husika, miongoni mwa familia ambazo hazikupewa kipaumbele ni hizi hapa

Familia ambayo ni ya baba na mama lakini mwenye sauti/maamuzi katika familia hiyo ni mama, hakika familia hiyo kijana awaye yeyote hakuruhusiwa kuoa binti wa familia hiyo sababu kuu ni kwamba binti anayetoka familia ambayo mama ndiye mwenye sauti/ maamuzi hawezi kukaa na mwanamme anayejitambua kwani atakuwa akifanya maamuzi bila hofu ya mumewe lakini pia anaweza kuchukua tabia ya mama yake hivo kutaka kumtawala mme wake jambo ambalo lingepelekea ndoa kuvunjika

---------Familia nyingine ni ile ya binti aliye lelewa na mama pekee, familia hii nayo haikupewa nafasi kwa binti kuolewa kwani binti aliyelelewa na mama pekee alionekana kukosa malezi ya baba hivo hata kama angeolewa asingeweza kudumu katika ndoa kutokana na tabia ya kukosa hofu ya sauti ya mwanamme , mwanamke wa familia hii ilionekana kuwa binti wa familia hii ilikuwa ni rahisi kujibizana na mwanamme wake au hata kumtukana mumewe mbele za watu bila haya----------!!!!!!!

changamoto kubwa kwa ndoa zetu hivi Leo ni kuwa vijana hawafanyi ubembuzi yakinifu hivyo kupelekea ndoa kuvunjika mapema, kijana epuka papala kuwa makini katika uchaguzi wa mke kwa amani ya familia yako

Ahsanteni
Da ulikuwa wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hapo nilipobold ndipo pananihusu mpaka leoooooooooooooo ila nimeshaoa sasa nafanyaje?
 
habari wapendwa katika bwana? Ni matumaini yangu kuwa hamjambo,bila kupoteza muda naomba niende kwenye hoja yangu

Hivi ñi kwanini ndoa za wazee wetu zilidumu sana na naza vijana wa kileo ni za ndoa Leo, kesho taraka ? Kuna sababu kadha wa kadha za ndoa za wazee wetu kudumu, kwa muda mrefu, kwa Leo napenda kuongelea sababu kuu mbili miongoni mwa sababu nyingi juu ya mada hii.

Wazee wetu kabla ya kuchagua mke wa kuoa waliangalia aina ya familia ambapo posa itapelekwa kukiwa na sababu lukuki juu ya uchaguzi wa familia husika, miongoni mwa familia ambazo hazikupewa kipaumbele ni hizi hapa

Familia ambayo ni ya baba na mama lakini mwenye sauti/maamuzi katika familia hiyo ni mama, hakika familia hiyo kijana awaye yeyote hakuruhusiwa kuoa binti wa familia hiyo sababu kuu ni kwamba binti anayetoka familia ambayo mama ndiye mwenye sauti/ maamuzi hawezi kukaa na mwanamme anayejitambua kwani atakuwa akifanya maamuzi bila hofu ya mumewe lakini pia anaweza kuchukua tabia ya mama yake hivo kutaka kumtawala mme wake jambo ambalo lingepelekea ndoa kuvunjika

Familia nyingine ni ile ya binti aliye lelewa na mama pekee, familia hii nayo haikupewa nafasi kwa binti kuolewa kwani binti aliyelelewa na mama pekee alionekana kukosa malezi ya baba hivo hata kama angeolewa asingeweza kudumu katika ndoa kutokana na tabia ya kukosa hofu ya sauti ya mwanamme , mwanamke wa familia hii ilionekana kuwa binti wa familia hii ilikuwa ni rahisi kujibizana na mwanamme wake au hata kumtukana mumewe mbele za watu bila haya

changamoto kubwa kwa ndoa zetu hivi Leo ni kuwa vijana hawafanyi ubembuzi yakinifu hivyo kupelekea ndoa kuvunjika mapema, kijana epuka papala kuwa makini katika uchaguzi wa mke kwa amani ya familia yako

Ahsanteni
mzee hii sababu zako mm nazichallenge kama baba wa familia kwa maana kwamba kitu pekee cha kufanya ndoa idumu au isidumu ni unynyekevu kwa pande zote mbili mke au mme japo watu wengi huwa wanachanganya neno unyenyekevu na kujishusha haya ni maneno mawili tofauti kwa maana kwamba mtu mwenye unyenyekevu ana utambuzi ndani yake ya udhaifu wake na ule wa mwenzake kwa hyo anakuwa hajishushi bali anatambua udhaifu anaofanya mwenzake na kumvumilia yaan kama ni kosa katendewa basi akisamehe mwenye unyenyekevu hahesabu ila mwenye kujishusha huwa anakubali yaishe ila hajatambua ya kwamba nn kilichompelekea mwenzake kukosea hivyo basi huu unyenyekevu unafundishwa na kukaa ndani ya mioyo ya watu na kama ingekuwa kudumu kwa ndoa ni mpka kulelea na baba na mama tu basi zile familia tuliolelewa na kaka au dada tu mpka tukafikia hatua ya kujitambua tusingeweza kutengeneza familia
 
Akili za kuambiwa changanya na zako...

Ukioa mwanamke ambaye hana elimu kubwa, hana kipato, yani anakutegemea wewe kwa kila kitu hakika ndoa itafika mbali...yuo know why, atavumilia maana anajua hana pa kwenda.....na wanaume ndio tunapenda wake wa namna hii....wakunyenyekea..

Ila akishakuwa na Elimu, kipato chake cha kuendesha maisha yake ya kila siku....hakika havumilii upuuzi wa mwanaume...eti umrudie saa saba usiku akae kimya....eti akufumanie na mchepuko akusamehe....umeoa lakini unaishi kama upo single(bachelor husband)....hakika atakubwaga na anafungasha viroba vyake na watoto....

Hii ndiyo changamoto ya sasa.....Elimu imewafungua wanawake....hawavumilii ujinga wa kiseng.e...

Mimi nitaenda kuoa kijijini hukoo...
asante..ndio maana ukichunguza kwa makini masingle mothers wengi nihao wanawake uliwataja kuwa wanaelimu
unachosema nisahihi napia hakiishii kwenye kuchepuka au kurudi saa7 usiku tu pekee kinaenda mpka ktk suala zima LA uchumi kama uchumi wakao utakuwa niule wa mwanayumba kisha unamwanamke mwenye elimu yake na anafanya kazi yenyekipato kizuri subiri kukimbiwa tu '' otherwise ujiandae kukubali kuburuzwa ili maisha yaendelee
nenda kijijini kaoe mkuu ila ukienda kuoa chagua mwanamke anayejitambua pia atakayekuwa anajua wajibu wake wakuwa mke niupi !!
ambaye anaweza kukushauri masuala yamsingia pia yatakayo changia kustawisha mahusiano yenu na hali ya uchumi kwa ujumla
 
Back
Top Bottom