Kiingereza kilishawagomea ndugu zetu wa kusini, hata kwenye hafla za kitaifa

Acha chuki za kijinga kwa Mwalimu Nyerere, Mwalimu kwa asilimia kubwa ndie amechagiza kutumika kwa lugha ya kiswahili Tanganyika...mpaka sasa hivi ukiingia usukumani ndani huko kuna watu bado kiswahili kinawapiga chenga, je 1960 hali ilikuaje?...Juhudi zake kubwa za kuunganisha makabila, kuweka somo la kiswahili mashuleni na kufundisha elimu ya msingi mashuleni, kuweka redio na magazeti ya kiswahili na kutumia kiswahili kama lugha ya mawasiliano maofisini kulifanya Kiswahili kikue kwa haraka.
Nashindwa huyo Kijakazi anatuona sie ni wajinga. Anakazana kwamba Nyerere hakutoa mchango wowote kukifanya Kiswahili kitie mizizi Tanzania.
 
Yaani tu yaani...

img-20220523-wa0228-jpg.2236393
Na st yenyewe ikagoma kukaa ki superscript
 
Kazi kweli kweli, language supremacy tena. Anyways, maisha ni poa tu huku TZ na bloken English zetu.
 
Mjaluo kakomaa kukosoa lugha ya wazungu, unateseka wakati sio kijaluo , hata wakikosea wewe haina hasara kwako maana sio lugha yako wewe

Sasa mbona usiandike kwa Kisukuma badala ya kung'ang'ania lugha ambayo huna uwezo nayo....
 
Sasa mbona usiandike kwa Kisukuma badala ya kung'ang'ania lugha ambayo huna uwezo nayo....
Hili swali walipaswa waniulize wazungu wenye lugha yao, sio wewe jaluo acha uchungu na lugha za wengine ni hatari kwa afya yako
 
Sema wabongo sisi wengi wajuaji sana. Mtu anaona akiandika au kuongea kiingereza ni deal matokeo yake anatoa boko mpaka aibu.

Lugha kama huijui usi force.
 
Wachina wengi waturuki,warusi,waspanish,waarabu hawajui kingereza pia ,,wamekufa? Yan wakenya kujua kingereza wanajiona wenyewe hahah
 
Hili swali walipaswa waniulize wazungu wenye lugha yao, sio wewe jaluo acha uchungu na lugha za wengine ni hatari kwa afya yako

Halafu hapo unapita na bango kwa waswahili wenzio wasiojua kingereza pia, mnaonekana majuha nyote...ha ha ha!!
 
Wachina wengi waturuki,warusi,waspanish,waarabu hawajui kingereza pia ,,wamekufa? Yan wakenya kujua kingereza wanajiona wenyewe hahah

Wao Wachina, Waturki n.k. kama hawajui kingereza huwakuti waking'anga'nia kukitumia kwenye hafla zao, ila nyie sijui ujuha au nini, hafla ya kitaifa kabisa mnaandika upupu mkitumia lugha ambayo imewapa chenga.
 
Halafu hapo unapita na bango kwa waswahili wenzio wasiojua kingereza pia, mnaonekana majuha nyote...ha ha ha!!
Hakuna anae angaika na bango , huo ni ushamba wenu wajaluo kuwa na uchungu na kiingereza kuliko wazungu wenyewe ovyo kabisa
 
Hakuna anae angaika na bango , huo ni ushamba wenu wajaluo kuwa na uchungu na kiingereza kuliko wazungu wenyewe ovyo kabisa

Kila nikiangalia hili bango nacheka sana, andikeni Kisukuma lugha ya watu imewapa chenga....ha ha ha

screenshot_20220801-211019-png.2311408
 
Back
Top Bottom