KIBOD3 Senior Member Sep 11, 2016 125 176 Sep 22, 2016 #1 Kiherehere noma! Jamaa kaenda ukweni kakaa nje barazani akaona kuku kakamatwa, akaropoka; "msiweke mchuzi, akaangwe tu". Mama mkwe akajibu; "Huyu kuku anaatamia baba, wala hachinjwi. Amekamatwa apewe chanjo tu". Jamaa kimyaaaaa!
Kiherehere noma! Jamaa kaenda ukweni kakaa nje barazani akaona kuku kakamatwa, akaropoka; "msiweke mchuzi, akaangwe tu". Mama mkwe akajibu; "Huyu kuku anaatamia baba, wala hachinjwi. Amekamatwa apewe chanjo tu". Jamaa kimyaaaaa!
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,198 Sep 23, 2016 #6 Unajua ww jamaa mm nipo kitandani naumwa alafu unanichekesha..!