Kigwangwala amfuata Sitta Nyumbani kulalamika

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,507
11,883
Leo tena Kigwangwala azomewa bungeni, anasema mwenyekiti Sitta anawapendelea wachache bungeni.
 
[h=2]Kigwangwala amfuata Sitta Nyumbani kulalamika[/h]
Hivi Sitta ana nyumba Dodoma? Halafu naye huyo Kigwangwala amemaliza ile kesi yake ya kuandamanisha wachimbaji wadogo wadogo? Ana kiherehere sana, limdomo libaya kama kata ya kunywea pombe
 
Leo tena Kigwangwala azomewa bungeni, anasema mwenyekiti Sitta anawapendelea wachache bungeni.

Nibahati kuchaguliwa na kupewa jina na watu wengine. Kama ulilichagua wewe hilo jina lako! Majina huendana na matendo ya mtu. Inawezekana sana wewe ni bongolala. A simple mind always discuss simple issues. Ndiyo wewe!
 
Back
Top Bottom