Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Wana Jf.
Kuanazia siku ya alhamisi Kigoma si mahali salama hata kidogo. Kuna kundi kubwa la majambazi yanavamia maduka na sehemu za sitarehe na kuiba kila kitu. Tena wanaiba kuanzia saa 3 usiku tu.
Cha kushangaza jeshi la Polisi ni kama halipo kwa sabab majambazi wenye silaha kali yanavamia na kuiba sehemu zaidi ya 10 kwa usiku mmoja. Sisi wananchi tunashindwa kuelewa na maswali sasa ni mengi je? Polisi wanahusika?.
Tunaomba aliye karibu na IGP Said Mwema ampe taarifa hz. Kigoma si salama kabsa maduka sasa hv yanafungwa saa 1 jioni.
Kuanazia siku ya alhamisi Kigoma si mahali salama hata kidogo. Kuna kundi kubwa la majambazi yanavamia maduka na sehemu za sitarehe na kuiba kila kitu. Tena wanaiba kuanzia saa 3 usiku tu.
Cha kushangaza jeshi la Polisi ni kama halipo kwa sabab majambazi wenye silaha kali yanavamia na kuiba sehemu zaidi ya 10 kwa usiku mmoja. Sisi wananchi tunashindwa kuelewa na maswali sasa ni mengi je? Polisi wanahusika?.
Tunaomba aliye karibu na IGP Said Mwema ampe taarifa hz. Kigoma si salama kabsa maduka sasa hv yanafungwa saa 1 jioni.