Kifo cha Stan Katabaro kilivyoharibu legacy ya hayati Mzee Mwinyi

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
16,101
36,063
Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.

Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.

Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.

Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa

Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.

Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito,kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa,kifo chake kilijaa utataMzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi adharani,mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini,maana alimsasambúa sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa,Stan ni Ken Sarowiwa wa Tanzania.
Hii nchi ni zaidi ya jehanamu kwa wasema kweli
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito,kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa,kifo chake kilijaa utataMzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi adharani,mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini,maana alimsasambúa sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa,Stan ni Ken Sarowiwa wa Tanzania.
Aisee.
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito,kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa,kifo chake kilijaa utataMzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi adharani,mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini,maana alimsasambúa sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa,Stan ni Ken Sarowiwa wa Tanzania.
Stan Katabaro alikufa kwa HIV AIDS acheni kupotosha mambo.
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito,kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa,kifo chake kilijaa utataMzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi adharani,mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini,maana alimsasambúa sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa,Stan ni Ken Sarowiwa wa Tanzania.
Enzi za vimemo kupitia messenger mzee Butiku na waziri mkuu Jaji Warioba?!!! Unazungumza Enzi za kivuli cha Mwalimu JKN na kupanga nani awe waziri nani akae paleee? Hauwezi kuwa serious na Enzi za zidumu fikra za Mwenyekiti
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito,kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa,kifo chake kilijaa utataMzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi adharani,mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini,maana alimsasambúa sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa,Stan ni Ken Sarowiwa wa Tanzania.
Nakumbuka sana jambo hili na wengi either hawalifahamu hawakuwa wamezaliwa au kuwa town au wanajisahaulisha. Stan Katabaro na gazeti la Mfanyakazi those years. Aliuawa kutokana na Loliondo Gate. Ile issue ikaishia pale pale waliouziwa wakaendelea nayo mpaka leo. Kulia alilia ile ile style ya watu wa Pwani. Wanalia jicho moja. Kama tu Kikuete alivyokuwa akifanya issues zake. Hadi pole anaenda kuwapa au matibabu.
 
Nakumbuka sana jambo hili na wengi either hawalifahamu hawakuwa wamezaliwa au kuwa town au wanajisahaulisha. Stan Katabaro na gazeti la Mfanyakazi those years. Aliuawa kutokana na Loliondo Gate. Ile issue ikaishia pale pale waliouziwa wakaendelea nayo mpaka leo. Kulia alilia ile ile style ya watu wa Pwani. Wanalia jicho moja. Kama tu Kikuete alivyokuwa akifanya issues zake. Hadi pole anaenda kuwapa au matibabu.
Unafiki ni kipaji ndugu yangu,unatoa order mtu awe executed,kazi ikishafanyika unajifanya kulia ahaaa
 
Back
Top Bottom