Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Familia ya kina Wangwe haijaridhika na maelezo ya kifo cha Wangwe. Hiyo ni kwa mujibu wa Prof. Wangwe kaka wa Marehemu.

Huyu nae Prof mzima anachemsha big time, just a days ago the same old fashioned Prof amekaririwa akisema "wameridhika" Wangwe kafa kwa ajali ya kawaida all over suddenly comes this spectacular u turn. If this crap could come from Prof then sijuii tutegemee nini kutoka kwa the like Mnyika...

Kweli ndio tulivyo....
 
Last edited by a moderator:
Tunaomba pia tuwekewe na taarifa walizozitowa siku daktari wao alipofanya upasuaji na familia pamoja na mwakilishi wa chadema kutowa kauli kuwa ilikuwa ni ajali na hakuna risasi...Hizi ni siasa ama serious issue?

Nini kinawafanya watu wanabadili mawazo haraka haraka hivyo wakati marehemu keshazikwa kama si siasa hizi?

Ama amebadilishwa mawazo na forum hii?

Je wanataka uchunguzi HURU WA NJE? Maana si waliridhika walipoambiwa kuwa daktari wa nje hawezi kuruhusiwa?

Maana hata mimi nilishangazwa sana na kuridhika kwa familia hiyo juu a mazingira yote a kifo hicho.

Kaazi kweli kweli....


TBC hiyo!!
 
Ndugu yangu Sikonge maneno hayo hapo juu ni mazito sana...Kusema ukweli tutafutane ndugu yangu...Wewe ni mtu mwenye akili mingi sana wanafiki hawataki.

Mimi nimepunguza kasi ya kuchangia lakini kwenye mijadala sivuki posting yako hata siku moja.

Moja tu ulighafilika kuhusu wachagga...
Hili halina maana kuwa machango wake Ushushwe na watu wenye chuki mbaya kama Gembe.

Mushi,
Mie nipo bwana. Nipo sehemu sehemu kama vile Sikonge kwenyewe. Nikija zuka USA may be tutaonana. Ila sipendi sana fujo za pale ubalozi wa USA kwenda kuwapigia magoti kuomba VIZA.
Juu ya MADA ya Wachaga ni kwamba HUKUNIPATA. Mie mwenyewe niko WILAYA za watu, itakuwaje nichukie Wachaga na kusema UKABILA. Wakinisikia SKINHEAD basi itakuwa haki yao waniSURUBU. Nililoongelea ni hili ambalo RA alitaka kulitumia na kuleta MAPIGANO huko Tarime/Moshi ila sema nilisimama upende wa pili kuliongelea hilo.
Hapa tupo wote kuelekezana. Hakuna mwenye busara kuliko wengine. HAta mie huchemka sana tu, na tena wakati mwingine kwa makusudi. I like JOKES anyways hasa zile ambazo zinamuelezea Mtu X au Y.
Juu ya Gembe, Kasheshe na Mgagagigikoko, MkamaP nk hawa jamaa nina heshima sana nao. Unajua kwenye ujenzi, unapodesign nyumba huwa kuna factor fulani inabidi uzifikirie. Kama vile Moto, Mafuriko, Upepo, Mvua , Matetemeko na kwa Wengine wao pia wana hadi SNOW. Sasa hizi huwa challenges. Bila ya hizi kuwepo maisha hayana radha. Unaweza kukuta hawa mabwana ni wapinzani kweli kweli kuzidi sisi. Ila kuna watu wana asili ya kujiweka katika kundi la wachache na au kufurahisha watu au kutibua na hata kuwaelimisha. Wanafanya kwa makusudi au bahati mbaya au vyote pamoja. Bila ya hawa, mijadala yetu isingelikuwa mirefu namna hiyo. JF ingelikuwa kama chama cha TANU. Ukisema tu mimi Kambona, wanaku-chop.
Gembe na wenzako, mnafanya kazi nzuri tu. Tofauti na RA ambaye yeye hujificha katika migongo ya WAHARIRI. Pia kibaya yeye hana challenges kama zenu hapa JF na anaongea na kundi kubwa na MAMBUMBU kama hao ndugu zangu wa IGUNGA. Inawezekana angelikuwa hata wa Sikonge. Siye Wanyamwezi bado tuko nyuma sana. Nikilalamika ki-aina, Mushi anaweza kufikiri nina UKABILA. Ila kwetu huko jamani, utafikiri Mtemi Mirambo ndiyo kafariki mwaka juzi. Kama huamini nenda uulize wapi ISELAMAGAZI ya Sungusungu na maana yake huko Tabora.
 
Nitawawekea taarifa ya habari ya saambili walivyotangaza. Wanachosema ndicho ambacho wengine tumepigia kelele toka mwanzo. Na kama familia wana haki ya kubadili mawazo yao na wamefafanua kuwa kilichooneshwa ni kuwa hakufa kwa risasi. Lakini hiyo haina maana ajali haikupangwa kwingine.

Kwa vile maswali haya yameulizwa na Prof. mzima basi nadhani ni mazito zaidi kuliko kama yangeulizwa na kina Mnyika, na hasa ukizingatia kuwa huyo profesa amekuwa karibu kuanzia mwanzo wa habari za msiba hadi sasa. Kama hawajaridhika na wanajua kuliko sisi wengine, sisi tunaridhika kwa misingi gani?
 
Familia ya kina Wangwe haijaridhika na maelezo ya kifo cha Wangwe. Hiyo ni kwa mujibu wa Prof. Wangwe kaka wa Marehemu.

Maelezo ya kifo cha Wangwe yanasemaje? Na yametolewa na nani ? Baada ya uchunguzi gani ? Wa daktari wa familia yao kwamba hakukuwa na bullets ?
 
Mushi,
Mie nipo bwana. Nipo sehemu sehemu kama vile Sikonge kwenyewe. Nikija zuka USA may be tutaonana. Ila sipendi sana fujo za pale ubalozi wa USA kwenda kuwapigia magoti kuomba VIZA.
Juu ya MADA ya Wachaga ni kwamba HUKUNIPATA. Mie mwenyewe niko WILAYA za watu, itakuwaje nichukie Wachaga na kusema UKABILA. Wakinisikia SKINHEAD basi itakuwa haki yao waniSURUBU. Nililoongelea ni hili ambalo RA alitaka kulitumia na kuleta MAPIGANO huko Tarime/Moshi ila sema nilisimama upende wa pili kuliongelea hilo.
Hapa tupo wote kuelekezana. Hakuna mwenye busara kuliko wengine. HAta mie huchemka sana tu, na tena wakati mwingine kwa makusudi. I like JOKES anyways hasa zile ambazo zinamuelezea Mtu X au Y.
Juu ya Gembe, Kasheshe na Mgagagigikoko, MkamaP nk hawa jamaa nina heshima sana nao. Unajua kwenye ujenzi, unapodesign nyumba huwa kuna factor fulani inabidi uzifikirie. Kama vile Moto, Mafuriko, Upepo, Mvua , Matetemeko na kwa Wengine wao pia wana hadi SNOW. Sasa hizi huwa challenges. Bila ya hizi kuwepo maisha hayana radha. Unaweza kukuta hawa mabwana ni wapinzani kweli kweli kuzidi sisi. Ila kuna watu wana asili ya kujiweka katika kundi la wachache na au kufurahisha watu au kutibua na hata kuwaelimisha. Wanafanya kwa makusudi au bahati mbaya au vyote pamoja. Bila ya hawa, mijadala yetu isingelikuwa mirefu namna hiyo. JF ingelikuwa kama chama cha TANU. Ukisema tu mimi Kambona, wanaku-chop.
Gembe na wenzako, mnafanya kazi nzuri tu. Tofauti na RA ambaye yeye hujificha katika migongo ya WAHARIRI. Pia kibaya yeye hana challenges kama zenu hapa JF na anaongea na kundi kubwa na MAMBUMBU kama hao ndugu zangu wa IGUNGA. Inawezekana angelikuwa hata wa Sikonge. Siye Wanyamwezi bado tuko nyuma sana. Nikilalamika ki-aina, Mushi anaweza kufikiri nina UKABILA. Ila kwetu huko jamani, utafikiri Mtemi Mirambo ndiyo kafariki mwaka juzi. Kama huamini nenda uulize wapi ISELAMAGAZI ya Sungusungu na maana yake huko Tabora.

Nashukuru kwa maelezo yako hapo juu.
Sasa ni kweli umegunduwa kuwa kazi hii ya kulijenga Taifa si ndogo.
Na nimesema wazi kuwa kuna watu waliosoma na hawakuelimika.
Na ndio maana hata hapo Dar...Kuna watu labda hata asilimia kubwa ya wale walioona maendeleo ya nje ama kusoma nje..Wako hapo Dar...UBINAFSI WAO WA KUJIPENDELEA WAO NA FAMILIA NA MAKABILA YAO...KUMELIFANYA JIJI HILO KUWA NA VITU KAMA MAZINGIRA MABOVU NA NYUMBA ZINAZOJENGWA HOVYO KWENYE MAENEO YASIYOIPIMWA...Pia kigezo kikubwa sana ambazho wanastahili kuchomwa nacho moto ni ugonjwa ambao ni very embarrasing....KIPINDU PINDU...KWELI KINAVYOSABABISHWA NA UKWELI KUWA WASOMI WOTE WAKO HAPO BONGO....NI ISHARA HALISI KUWA TAIFA LIMEOZA NA HAO WALIOSOMESHWA NA SERIKALI HAWAFAI!
Sasa kama GEMBE ni mmojawapo na mawazo yake ndiyo hayo...Basi kazi kweli itaendelea kuwa kubwa.
Haijalishi kuwa sacarstic...Lakini si unaone watu wanaendelea kufa?
Sasa issue serious ambazo watu wanapoteza maisha ni ISSUE AMBAZO HAZITAKI UTANI....NA HIVYO BASI...NARUDIA USEMI WANGU...KUWA ATAKEYELETA UBAGUZI BONGO MIMI NA KICHWA CHAKE!
MIMI BINAFSI NIMESHAJITOWA MUHANGA!
 
Gembe. Kumbe huyu Gembe ni matunda ya RA? Nahisi kuna ukweli wa aina fulani maana huyu Gembe pamoja na kujidai msomi wa masters nadhani hamna kitu. Ninazo sababu za kufikiri hivyo. Kwanza kwa taarifa yake nadhani hapa jf kila mmoja kaenda shule kali kama au kuzidi yeye hivyo vitisho vya masters hamna hapa. Asione tu kwamba hatukutaja majina yetu halisi wala asingethubutu ku undermine Mnyika.
Lakini lililonisikitiha ni kwamba yuko SA kwa ticket ya RA na ndio sababu ukisoma michango yake unaweza kujua ni mwakilishi wa RA hapa.
Nadhani kasheshe ni RA mwenyewe na Masatu ni EL. tupo pamoja na tutakamatana hapa hapa JF
 
hichi kifo na matukio yake yanachanganya sana kiasi hata wafiwa sasa wanachanganyikiwa!nadhani ni muda tu na subira ndio inahitajika ,mengi yameshaanza kutoka na yatatoka mengi zaidi kinachotakiwa si kuhukumu ni kuweka maswali ya msingi na moja baada ya jingine yatajijibu tu!
 
MKJJ Hata professa pia muda ukipatikana tumsikie.

Kubadili mawazo kwasababu ya intelligence mpya si mbaya..Maana hata familia yenyewe kama isipochukuwa hatuwa hizo...Basi na wao walikuwa tayari matatani...Esp baada ya maswali mazito kuhusiana na MKE WA KATI "Aliyeporwa" kutoka kwa mwarabu kukubali dogo DEUS awe mtu wa karibu wa mumewe.

Kuna mgawanyiko mikubwa sana ndani ya familia kuhusiana na uhusiano ama nature ya uhusiano kati ya Deus na Marehemu Wangwe...Na ni wazi kuwa familia hiyo imejiuliza maswali mengi kama sisi tulivyofanya...Tatizo ni ushahidi VITAL...JE BADO UPO?
 
Jmushi1,
Tunaelewa sasa Tanzania tutawayawaya, kama CHADEMA itatokomea, sijue twende wapi sasa, nadhani tutabaki kama makinda ya ndege, unajua Jmush1 haya mafisadi yana tactic za kutisha sijui itakuwaje
 
kama daktari kutoka kenya hakuweza kuingia bongo sembuse hao scotland?

Hapo ndio palinichanganyana..Sasa kuna taarifa kuwa familia sasa inataka uchunguzi...JE USHAHIDI WOTE BADO UKO?
Na huu uchunguzi kweli ni lazima uta consume muda sana...Hopefully uchunguzi huo utasaidia kwenye vita dhidi ya UFISADI.
 
MKAMAP inakuwaje leo tunakubaliana...Ama kweli this issue ni very serious...Lakini i am OPIMISTIC.

Jmushi
hua tunakubaliana mara nyingi ila tofauti yako na mimi ni kua ,hapo awali ulikua na elements za kua kuna chama ambacho kinatetea haki na kinawatafutia Ufunuo wa kweli watanzania.

Wakati mimi msimamo na miono yangu ni kua jogoo ni lile lile ila limepakwa rangi kichwani na Bado mkombozi wa kweli hajapata kuwapo, wengi wa hao wanaopiga paragumu wengi wao ni mbwa mwitu wamejifunika ngozi ya kondoo .Mcungaji mwema wa kondoo ,kondoo humtambua na kuwafungulia na kupita ktk mlango,Lakini mchungaji asiye mwema huruka zizi na kondoo hutawanyika kila mahala wasifuate mlango wakutokea,maana kondoo watambua huyu si mchungaji mwema.
 
Jmushi1,
Tunaelewa sasa Tanzania tutawayawaya, kama CHADEMA itatokomea, sijue twende wapi sasa, nadhani tutabaki kama makinda ya ndege, unajua Jmush1 haya mafisadi yana tactic za kutisha sijui itakuwaje

MKUU mwita...WAAFRIKA WAKWELI WENYE NIA NZURI NA AFRIKA MNAWAJUWA...Nyie msibaki kwenye propaganda za vyama kabisa na msisikilize propaganda zenye kujali maslahi ya chama cha kisiasa...Na ndio maana ni muhimu mpiganie wagombea binafsi...Kwani inawezekana wakawa na mawazo mazuri toka BOTH parties kwasababu UHURU WAO HAUTAWABANA NA MASLAHI YA CHAMA!

Mkuu Mwita...Ni lazima msiwe wafuata mkumbo ama mashabiki tu.

Wekeni sifa za kiongozi ajaye na yale tunayotaka viongozi wetu watufanyie...Baada ya hapo ni rahisi sana kutafuta yule anaye fit kwenye hizo qualifications zetu tutakazozijadili za UZALENDO.
 
++bado
Jmushi
hua tunakubaliana mara nyingi ila tofauti yako na mimi ni kua ,hapo awali ulikua na elements za kua kuna chama ambacho kinatetea haki na kinawatafutia Ufunuo wa kweli watanzania.

Wakati mimi msimamo na miono yangu ni kua jogoo ni lile lile ila limepakwa rangi kichwani na Bado mkombozi wa kweli hajapata kuwapo, wengi wa hao wanaopiga paragumu wengi wao ni mbwa mwitu wamejifunika ngozi ya kondoo .Mcungaji mwema wa kondoo ,kondoo humtambua na kuwafungulia na kupita ktk mlango,Lakini mchungaji asiye mwema huruka zizi na kondoo hutawanyika kila mahala wasifuate mlango wakutokea,maana kondoo watambua huyu si mchungaji mwema.

Mwana wasu,
Sijakuelewa, unataka kusema bado hatumpata yesu wetu? ama unamaanisha nini?
 
WAAFRIKA WAKWELI WENYE NIA NZURI NA AFRIKA MNAWAJUWA...Nyie msibaki kwenye propaganda za vyama kabisa...Na ndio maana ni muhimu mpiganie wagombea binafsi...Kwani inawezekana wakawa na mawazo mazuri toka BOTH parties kwasababu UHURU WAO HAUTAWABANA NA MASLAHI YA CHAMA!
Ni lazima msiwe wafuata mkumbo ama mashabiki tu.
Wekeni sifa za kiongozi ajaye na yale tunayotaka viongozi we watufanyie...Baada ya hapo ni rahisi sana kutafuta yule anaye fit kwenye hizo qualifications za UZALENDO.

Je? kwa wakati huu ambapo mgombea binafsi ni sawa na uhaini nini kifanyike?

Wote wakae kimya na kuachana na vyama?

Nani atasema na atalipigania wapi kama wote wakiwa hawamo miongoni mwao?
 
Je? kwa wakati huu ambapo mgombea binafsi ni sawa na uhaini nini kifanyike?

Wote wakae kimya na kuachana na vyama?

Nani atasema na atalipigania wapi kama wote wakiwa hawamo miongoni mwao?

Ndio tunachofanya hapa...Kama kiongozi akikubaliwa na jf...TANURU HILI LA MOTO....Basi atakuwa chuma cha puwa chenye kustahili kuliongoza Taifa...Maana hapa jf kuna watu wenye uwezo wa kuwatetea wananchi zaidi hata ya wabunge UCHWARA.....Basi ni wazi akijadiliwa kiongozi hapa na kupitishwa...HUYO NI LAZIMA ATAKUWA MTEULE...Kwasababu uzito wa jf unajulikana na ndio maana ilifungiwa kwa madai ya UGAIDI!
Kila kitu kiko hapa na kuchaguwa kiongozi mzuri kutaanzia hapa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom