Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Kwa nini huyo Dokta toka Kenya asiwepo wakati watakapokuwa wanafanya hiyo Autospy akiwa kama member wa familia ? Pia nilikuwa nauliza jee kama Familia ikiamua kuchukua baadhi ya samples kama tissues for further analysis kwenye private laboratories wanazozijua wao ...jee hilo nalo wataruhusiwa kwa sheria za Tanzania?