Mpungahewa
Member
- Jul 12, 2012
- 15
- 2
C wote wana vaa mavazi ya chadema ni chadema. Nadhani walio mvamia ni askari kwani ushahidi wa uniform C upo! Tumieni akili kujadili mambo ya msingi. Naamini C chadema wala askari bali ni wahalifu tu. Lkn kwavile ni mkubwa kaumizwa najua watapatikana tu. Ila ingikuwa ss walala hoi, Thubutu kama ungeona Kova anahangaika.WAJIBU WA KWANZA WA SERIKALI NI KULINDA VIONGOZI TU. Ukitaka na wewe ulindwe uwe kiongozi wa nchi hii.