na wewe kanisani na bia yako uliingiaje?au huna la kuandika?wenzako tumechanganyikiwa ccm kwa sasa haina msemaji mkuu kila mtu ni bosi, watoto wapo juu ya babazao,baba na watoto wachache wanagombea rasilimali zetu za watu 43milions
Umeisikia ya Jamaa alienda msikitini na konyagi ya baridi?
jamani duniani kuna watu wa ajabu sana,yaani huwezi kuamini leo kanisani nimekaa na mtu anavuta sigara ndani ya kanisa bila uwoga,nilitetemeka nusura niangushe bia yangu!!LOL!
jamani duniani kuna watu wa ajabu sana,yaani huwezi kuamini leo kanisani nimekaa na mtu anavuta sigara ndani ya kanisa bila uwoga,nilitetemeka nusura niangushe bia yangu!!LOL!