Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 738
Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke)
Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?
Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.
Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.
Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?
Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.
Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.