Elections 2010 KICHEKESHO: Mgombea Urais Zanzibar CCM apigia kura Oysterbay DSM

Endeleaaa

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
1,485
738
Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke)

Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?

Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.

Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.
 
Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke)

Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?

Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.

Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.

Zanzibar kweli mwaka huu mambo shwari!!! najaribu kufikiria kwa miaka hiyo issue kama hii ingekuwa labda kwa Seif Sharrif hivi ingekuwaje?
 
Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke)

Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?

Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.

Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.
Kakimbia nchi huyo!
 
Shein si mkaazi?

ukiwa upo nje ya jimbo lako kwa zaidi ya miaka 5 huruhusiwi kupiga kura ama?
 
kwani ilikuwaje wakati wa kwenda kuhamisha majina, sasa itakuwaje kama kura yake moja ndio itamuwezesha kuwa rais huko zenj...au hakujua atateuliwa kuwa mgombea wa urais....CCM bana.....vululuvululu
 
Mimi pia nimeshangaa sana. Labda mwenzetu kajiandikisha mara mbili, akitoka hapo anapanda helikopta anakwenda Pemba kujipigia kura? Au pengine nimesahau, labda uchaguzi wa Zanzibar sio leo ni wiki ijayo?
 
kapiga kuwa kituo cha Oyster Bay

inaonyesha anajiamini, hahitaji kura yake :nono:
 
Shein si mkaazi?

ukiwa upo nje ya jimbo lako kwa zaidi ya miaka 5 huruhusiwi kupiga kura ama?

kwani ilikuwaje wakati wa kwenda kuhamisha majina, sasa itakuwaje kama kura yake moja ndio itamuwezesha kuwa rais huko zenj...au hakujua atateuliwa kuwa mgombea wa urais....CCM bana.....vululuvululu

Hakukidhi matakwa ya sheria ya kujiandikisha kuwa mpiga kura. dkt. shein hajakaa znz miaka 10 mfululizo!!! Sheria ndio inasema hivyo,kabla haijapitishwa wapinzani waliikataa but ccm walikubaliana nayo na hayo ndio matokeo unagombea urais lakini hupigi kura ya kujichagua!!!
 
Hakukidhi matakwa ya sheria ya kujiandikisha kuwa mpiga kura. dkt. shein hajakaa znz miaka 10 mfululizo!!! Sheria ndio inasema hivyo,kabla haijapitishwa wapinzani waliikataa but ccm walikubaliana nayo na hayo ndio matokeo unagombea urais lakini hupigi kura ya kujichagua!!!

Huh! Siamini! Kwa hiyo mgombea urais Zanzibar si mpiga kura wa Zanzibar? Hivi sheria inaruhusu mgombea ambaye hana sifa za kupiga kura? Maana naelewa sifa mojawapo ni kuwemo kwenye daftari husika, au nakosea jama?
 
Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke)

Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?

Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.

Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.


SIFA KUBWA YA DR. SHEIN hakuwa king'anizi cha uongozi. Ila watu ndo wamuona anafaa.
 
Huh! Siamini! Kwa hiyo mgombea urais Zanzibar si mpiga kura wa Zanzibar? Hivi sheria inaruhusu mgombea ambaye hana sifa za kupiga kura? Maana naelewa sifa mojawapo ni kuwemo kwenye daftari husika, au nakosea jama?

Ilitakiwa CUF (chama kikuu cha upinzani Zanzibar) imwekee pingamizi la kutokuwa na sifa za kugombea. Lakini haikufanya hivyo kwa sababu ya ndoa iliyofungwa baina ya CCM na CUF!

Cha ajabu ni kwamba hata vyama vingine havikuweka pingamizi!!!
 
Hilo la mbatia ni ccm tu walikuwa wanajaribu kumtumia ujumbe kwamba hawamhitaji tena pindi Uchaguzi ukipita. Hata hivo hakufanya kazi aliyopewa vema Kama mrema
 
Hayo ndio matatizo ya Katiba ambayo wagombea wengine wanasema mchakato wake utaanza ndani ya siku 100 White House. Lakini sounds very interesting, unagombea nafasi halafu huna haki ya kupiga kura? something wrong somewhere.
 
Eeeh sasa ndio mnaliona hilo. siku zote tunawaambia CCM ni cham cha Masanii. Mnaona sasa. Hiyo kura yake moja ndio itamcost leo
 
wasi wasi wang hakutaka tu kujiandikisha zanzibar kwa sababu ukiwa upo 'nje ya nchi' kikazi, na ukarudi jimboni kwako unaruhusiwa kuandikishwa na kupiga kura.
 
Back
Top Bottom