tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
- Thread starter
- #41
maneno mazuri ila vibuti vinachusha akili na mwiliHivi vitu ni vya kwaida tu jamani. Mapenzi ni tamaa ya mwili tu ambayo ukiiendekeza waweza kujutia baadaye kama haupo makini.
Kuacha na kuachwa ni vitu vya kawaida tu katika jamii yoyote. Cha msingi ni kuwa mvumilivu mara matukio haya yanapotokea.
Tukishindwa kuwa wavumilivu, Je tutaweza kuishi na nani hapa duniani??
Swala la kupewa kibuti kwa upande mwingine ni gumu kulivumilia lakini na inahitaji moyo na upeo wa hali ya juu. Ubinadamu kazi sana ndugu.
Kwa wewe unayepewa kibuti, jiulize kwanini unapewa?? Jichunguze kwanza wewe mwenyewe na kisha kata mzizi huo uliosababisha wewe kupewa kibuti Kama kweli bado wampenda binti huyo.
Akikukataa jaribu kwingine usikate tamaa.
ni hayo tu kwa leo.