mkongojoli
Member
- Mar 8, 2009
- 20
- 6
Ya ni kweli vibuti vinauma ila hakuna jinsi lazima ukubali na kisha usahau, haya ndo maisha, ukisema huwezi kusahau unakua unashindana na nature, jiulize kuna wangapi na wewe umewapiga vibuti? ukipata jibu utakubaliana na hiyo hali coz ili mapenz yatokee lazima unayempenda awe na feelings kama za kwako sasa kama hana huwezi kulazimisha, sasa akisema kile anachojisikia ndo bahati mbaya tunaita kibuti but in real sense it must be taken as normal thing and it can happens to anybody.