????????????????????????????????????????????:a s 114:
????????????????????????????????????????????:a s 114:
Huyu Kibonde vp?Ni mzima kweli?Hapa anatumia nguvu nyiiingi kukosoa approach ya Zitto kwenye hili sakata la 'allowances".
Is he paid to attack off?
mCuldnt agree more, why is he always critisizing CDM side and praising CCM side! cant be a coincidence the formula for him is the same all the time, always!
Yule ni kada wa ccm damu damu!Huyu Kibonde vp?Ni mzima kweli?Hapa anatumia nguvu nyiiingi kukosoa approach ya Zitto kwenye hili sakata la 'allowances".Is he paid to attack off?
Nakuhakikishia asilimia zaidi ya hamsi hapa dsm ikifika saa 10 jioni tunamsikiliza kiponde atasema nini,sio wewe wala mimi tuwewe huwa bado unamaliza betri zako kumsikiliza kibonde? Wake up, DON'T!
Huyu Kibonde vp?Ni mzima kweli?Hapa anatumia nguvu nyiiingi kukosoa approach ya Zitto kwenye hili sakata la 'allowances".
Is he paid to attack off?
Nakuhakikishia asilimia zaidi ya hamsi hapa dsm ikifika saa 10 jioni tunamsikiliza kiponde atasema nini,sio wewe wala mimi tu
ndio maana hata akikohoa katika kipindi tayari mnakuja mbio humu ndani kumuanzishia thread take
ndio tatizo la chadema wengi.
kila anaepinga wana mu attack....
tena mtu kama kibonde ambae anajulikana wazi ni ccm
sasa wa nini kutumia nguvu nyingi kum attack?????????
common sense is not common kwa kweli..
ndio tatizo la chadema wengi.
kila anaepinga wana mu attack....
tena mtu kama kibonde ambae anajulikana wazi ni ccm
sasa wa nini kutumia nguvu nyingi kum attack?????????
common sense is not common kwa kweli..
Nafikiri hujui maana ya asilimia hamsini labda unapomsikiliza wewe na mke wako kwako hiyo ndio 50%, lakini labda nisikupinge hata Matonya inawezekana anajulikana kwao zaidi ya rais Kikwete.Nakuhakikishia asilimia zaidi ya hamsi hapa dsm ikifika saa 10 jioni tunamsikiliza kiponde atasema nini,sio wewe wala mimi tu
ndio maana hata akikohoa katika kipindi tayari mnakuja mbio humu ndani kumuanzishia thread take