Hii kiboko.....Mwanaume mmoja siku yake
ya kwanza ya ndoa yake
alimuuliza mkewe: "una hakika mm ndiye mwanaume
wa mwanzo ninayelala nawe?"
Mke akajibu: "Haswaa mpenzi! Wanaume wengine
wote tulikuwa hatulali, ni
shughuli mpaka asubuhi!"
Mwanaume mmoja siku yake
ya kwanza ya ndoa yake
alimuuliza mkewe: "una hakika mm ndiye mwanaume
wa mwanzo ninayelala nawe?"
Mke akajibu: "Haswaa mpenzi! Wanaume wengine
wote tulikuwa hatulali, ni
shughuli mpaka asubuhi!"
Mwanaume mmoja siku yake
ya kwanza ya ndoa yake
alimuuliza mkewe: "una hakika mm ndiye mwanaume
wa mwanzo ninayelala nawe?"
Mke akajibu: "Haswaa mpenzi! Wanaume wengine
wote tulikuwa hatulali, ni
shughuli mpaka asubuhi!"
mh! Bangi!Mh! Ona na hii ya wavuta bangi.
Kibiriti kiliwaishia huku wakiwa wanataka kupiga mzunguko wa pili.
Mmoja akamwambia mwenzake: Oyaa, nenda kaazime kibiriti kwa jirani.
Kaenda lkn kwa kutokujua, kazunguka nyumba moja na kurudia ktk nyumba ile ile na kuhodisha.
"Mwanangu eeh, nimekuja kuazima kibiriti. Mwenzake akamjibu "Unajua vipi, katoka mshkaji kaenda kuazima kwa hapo nyumba ya pili. Kama vipi, tumsubirie atarudi sasa ivi.
kumbe hata mi nina tabasamu bomba, sema wa kunichekesha ndio alikuwa hajapatikana