Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Padre alikuwa anahubiri :
'Biblia inasema kuwa wale wasiotubu na wanaendelea kutenda madhambi watalia na kusaga meno siku ya hukumu'.
Hapo ndipo Kibogoyo mmoja alipocheka na kumnong'oneza mwenzie akisema: 'Hakika sisi tumebarikiwa kwani adhabu ya kusaga meno kwetu hamna.., lol
'Biblia inasema kuwa wale wasiotubu na wanaendelea kutenda madhambi watalia na kusaga meno siku ya hukumu'.
Hapo ndipo Kibogoyo mmoja alipocheka na kumnong'oneza mwenzie akisema: 'Hakika sisi tumebarikiwa kwani adhabu ya kusaga meno kwetu hamna.., lol