pole kibanda,poleni wazalendo! Kama aishivyo Mungu nayemwamini siku zoteDah....ahsante kwa taarifa
nafikiri wewe jamaa hujawahi kusikia kitu kinaitwa ORGANISED CRIME toka uzaliwe si ndio.
Haya mambo yanatokea hata katika nchi zilizoendelea tofauti ya hapa na huko ni kuwa huko yameanza miaka mingi nyuma ,wakati hapa bado ni kitu kipya.
Jk kama kawaida yake..kikulacho
pole kibanda,poleni wazalendo! Kama aishivyo Mungu nayemwamini siku zote
natabiri mwisho wa haya mambo haya ya kishenzi.Mark my words! mwakani majira ya joto wazalendo wengi
wa nchi hii watapata raha
Waliomshambulia inasemekana walikua wakimwita kiongozi wao 'afande'. Kama sio dola tuseme labda ni wanausalama wa dola wamekodishwa na watu binafsi? Au mnasemaje wana jf!! Wananchi tunafahamu askari wetu kwa kubobea kula rushwa siku hizi wanaweza kukodishwa!
huyu jamaa hapa namnukuu "Neville C. Meena,
Secretary General,
Tanzania Editors Forum - TEF,
Dar es Salaam - Tanzania." ni mnafiki sana.....kulikuwa na haja gani ya kuripoti upasuaji na kutuambia ya Jekey?.....ni heri wange kuumiza wewe Neville kwa kuwa ni mnafiki kuliko watu wote ninao wajua