BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Wanafunzi wa kibaha sekondari wameonyesha ujasiri wa hali ya juu baada ya kuingia ktk chumba cha mitihani na kukuta maswali ya mitihani ya merudiwa toka necta 2008 na 2009.kibaya zaidi watayarishaji wa mtihani kanda ya mashariki wame copy mpaka maswali ambayo hayaendani na uhalisia ktk somo la civics.mfano katibu mkuu wa africa union ambaye kwa sasa ni mwingine. pia wanajiuliza pesa walizotoa kutayarisha mitihani zimekwenda wapi kama watayarishaji wame copy mitihani.wameona bora wasifanye maana haiwaongezei kiwango chao cha elimu bali kuwadhoofisha.