M Mbonetronics Member Feb 17, 2011 13 3 May 14, 2011 #21 Kibaha mmetisha, 2nahitaji wa2 km nyinyi. Hivi majala, kachingwe kaselenge, kashbaba na luanda aka bizman bado wapo? Au yupo muya na andersoni tu!
Kibaha mmetisha, 2nahitaji wa2 km nyinyi. Hivi majala, kachingwe kaselenge, kashbaba na luanda aka bizman bado wapo? Au yupo muya na andersoni tu!
serio JF-Expert Member Apr 15, 2011 7,306 4,681 May 15, 2011 #22 this is bravery of the highest order..!!
mopaozi JF-Expert Member Nov 17, 2010 3,301 519 May 15, 2011 #23 Ndo system ilivyo tangu enzi kucopy na paste hakuna jipya bravo vijana kwa kukataa kuwa vilaza