Kiasi cha pesa kilichokopwa Vs Kiasi na kiwango cha miradi inayoendelea

Upekuzi101

Senior Member
Aug 28, 2020
134
348
Habari Jf,

Nimekua nikitazama habari kuhusu idadi ya fedha tulizokopeshwa kama Tanzania hadi sasahivi nadhani ukizipanga kuizunguka Tanzania unaezaweza zunguka kama mara 3 hivi ila ukitazama sights siioni kama Kuna miradi inayoreflect kiwango cha hii pesa tulizokopeshwa hadi sasa.

Wataalamu kidogo wa mambo ya fedha na uchumi mtusaidie kidogo hapa, pesa zinazokopwa mbona ni nyingi kuzidi uhalisia wa kile kinachodaiwa kuwa ndiyo sababu ya ukopaji huu?

Mama umeruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa so chonde chonde usijepigwa na vitu vizito kichwani ukabadili gia angani.

°Open for critics °
IMG-20230102-WA0010.jpg
 
Miradi almost yote ya JPM iliendeshwa kwa mikopo na mpaka anafariki miradi hiyo haikua imefika hata 50% Sasa kama JPM alikopa kuijenga unadhani hiyo 50% inayobakia itajengwaje kama sio kwa mikopo pia?

Mfano SGR, BRT, Magufuli Bridge, Tanzanite bridge, Ununuzi wa ndege, ujenzi wa vituo vya afya, madarasa, Bwawa la Nyerere n.k haikuwa imeisha so naweza sema mikopo imeishia kwenye kukamilisha miradi mikubwa hiyo ilivyokua inaendeshwa kwa mikopo pia.

Hii Ina maana hata JPM angekua hai angekopa pia Ili amalizie. Mngekua na hoja kama miradi ingekua 100% imekamilika ila kama ilikua halfway utalaumu vipi akikopa au mlitaka aache njiani muanze kumkaanga kuwa kafeli kumaliza miradi ya mtangulizi wake? Otherwise mtueleze mngekua nyie mngepata wapi hela ya kumaliza hiyo miradi nje ya mikopo?

Mapato ya ndani almost 50% yanaenda kulipa deni la nje na inayobakia ni mishahara unadhani kwa structure hiyo Kuna mradi Gani utafanya?
 
Miradi almost yote ya JPM iliendeshwa kwa mikopo na mpaka anafariki miradi hiyo haikua imefika hata 50% Sasa kama JPM alikopa kuijenga unadhani hiyo 50% inayobakia itajengwaje kama sio kwa mikopo pia...
Mleta mada anasema kiasi kinachokopwa ni kingi hakiendani na kasi ya sababu za huko kukopa.
 
Mleta mada anasema kiasi kinachokopwa ni kingi hakiendani na kasi ya sababu za huko kukopa.
Sasa si aweke mchanganuo hapa why anaongozwa na assumptions!! Mfano JPM alijenga SGR kwa 30% ila Samia inabidi amalize hiyo 70% anunue mabehewa, aajiri wafanyakazi kwenye reli n.k Sasa alitaka atoe Hela wapi?

Hapo Bado BRT, mradi wa Maji ya ziwa Victoria, Bado upanuzi wa Kinyerezi 2, Bado Bwawa la Nyerere n.k so atueleze yeye Sasa kwa numbers ni kiasi gani kimezidi mahitaji
 
Sasa si aweke mchanganuo hapa why anaongozwa na assumptions!! Mfano JPM alijenga SGR kwa 30% ila Samia inabidi amalize hiyo 70% anunue mabehewa, aajiri wafanyakazi kwenye reli n.k Sasa alitaka atoe Hela wapi?

Hapo Bado BRT, mradi wa Maji ya ziwa Victoria, Bado upanuzi wa Kinyerezi 2, Bado Bwawa la Nyerere n.k so atueleze yeye Sasa kwa numbers ni kiasi gani kimezidi mahitaji
Ukute na wewe una masters hapo ulipo!! Elewa swali kwanza kabla ya kujibu
 
Sasa si aweke mchanganuo hapa why anaongozwa na assumptions!! Mfano JPM alijenga SGR kwa 30% ila Samia inabidi amalize hiyo 70% anunue mabehewa, aajiri wafanyakazi kwenye reli n.k Sasa alitaka atoe Hela wapi?

Hapo Bado BRT, mradi wa Maji ya ziwa Victoria, Bado upanuzi wa Kinyerezi 2, Bado Bwawa la Nyerere n.k so atueleze yeye Sasa kwa numbers ni kiasi gani kimezidi mahitaji

hesabu ziko wazi.

weka mezani rukhsa.
 
hesabu ziko wazi.

weka mezani rukhsa.
Yeye ndio anapinga huo mchanganuo Sasa kama anapinga aweke mchanganuo hapa anaodai hauendani na miradi inayofanyika.

Mfano aeleze daraja la kigongo-Busisi lingemalizwa kwa Hela kutoka wapi? Mfano Bwawa la Nyerere limalizwe na pesa kutoka wapi? Atueleze SGR na mabehewa yake yanunuliwe kwa pesa Gani au anadhani JPM alifariki SGR ikiwa imemalizika???
 
Ukute na wewe una masters hapo ulipo!! Elewa swali kwanza kabla ya kujibu
Yeye kasema haoni mradi unao reflect hizo pesa ndio nauliza SGR inajengwa kwa pesa zipi?
Bwawa la Nyerere?
Daraja la Kigongo
Vituo vya afya?
Madarasa ya shule?
BRT phase 3 and 4 inajengwa kwa Hela ipi?
Hizi flyover za Dar zinajengwa kwa pesa ipi?
Uwanja wa ndege Dodoma unajengwa kwa pesa ipi?
Kinyerezi 2 extension kwa pesa ipi?
Bwawa la Nyerere kwa pesa ipi?

Miradi ya JPM ilikua ya Hela nyingi na karibu yote iliendesgwa kwa mikopo Sasa mtu anapohoji kuwa haoni pesa Inaenda wapi ajibu Hiyo miradi tajwa hapo juu inatumia Hela za wapi?
 
Back
Top Bottom