Kiapo cha Madaktari: Ni Zaidi ya Pesa kweli...

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,873
1,216
Mnaokumbuka mtatuelewesha zaidi....

Hippocrat oath 425 BC,
inasemaje? nakumbuka
chache,I promise that my
medical knowlegde will be
used to benefit peoples
health,Patients are my first concern, I will listen to them
and provide the best care i can,
i will be honest,respectful, and
compassionate toward
patients. 2,I will do my best to
help any one in medical need. 3 I will not put personal profit or
advancement above my duty to
my patient.
 
Mnaokumbuka mtatuelewesha zaidi....

Hippocrat oath 425 BC,
inasemaje? nakumbuka
chache,I promise that my
medical knowlegde will be
used to benefit peoples
health
,Patients are my first concern, I will listen to them
and provide the best care i can,
i will be honest,respectful, and
compassionate toward
patients. 2,I will do my best to
help any one in medical need. 3 I will not put personal profit or
advancement above my duty to
my patient.
Yaaaah!!! that's true man.... ndo maana wamegoma ili mazingira yawe mazuri "to benefit peoples health". Tatizo unajua kusoma ila UNASHINDWA kuchanganua mambo
 
MUNGU AWALAANI MADAKTARI WALIOGOMA. serikali imejaribu kusikiliza maombi yao na kuyatatua kwa 60% lkn bado wanagoma. pana jambo hapa. siyo mgomo wa kawaida. kama lengo la hao wanao wasukuma ni kushika madaraka, wasubiri 2015. wakipewa ridhaa watachukua ikulu.
 
kama unawaona wauwaji kasomee wewe ili ukatibu au ulikuwa kilaza shuleni ukakosa vigezo mbuzi mkubwa
 
Mnaokumbuka mtatuelewesha zaidi....

Hippocrat oath 425 BC,
inasemaje? nakumbuka
chache,I promise that my
medical knowlegde will be
used to benefit peoples
health,Patients are my first concern, I will listen to them
and provide the best care i can,
i will be honest,respectful, and
compassionate toward
patients. 2,I will do my best to
help any one in medical need
. 3 I will not put personal profit or
advancement above my duty to
my patient.

Yaah!! and this one is true...kwa gharama yeyote....mpaka mazingira ya hospitali za walipa kodi yam"confort" mlipa kodi mwenyewe.Siyo goverment officials wanaoenda Apollo na st. thomas...nk
 
Mnaokumbuka mtatuelewesha zaidi....

Hippocrat oath 425 BC,
inasemaje? nakumbuka
chache,I promise that my
medical knowlegde will be
used to benefit peoples
health,Patients are my first concern, I will listen to them
and provide the best care i can,
i will be honest,respectful, and
compassionate toward
patients. 2,I will do my best to
help any one in medical need. 3 I will not put personal profit or
advancement above my duty to
my patient.

Yaaah!! ndo maana wameongezewa posho, lakini bado wakagoma...kwa kuwa Serikali Sikivu, haijatimiza lililo la msingi kwa umma, kwa KUBORESHA MAZINGIRA ya hospitali.
 
Mnaokumbuka mtatuelewesha zaidi....

Hippocrat oath 425 BC,
inasemaje? nakumbuka
chache,I promise that my
medical knowlegde will be
used to benefit peoples
health,Patients are my first concern, I will listen to them
and provide the best care i can,
i will be honest,respectful, and
compassionate toward
patients. 2,I will do my best to
help any one in medical need. 3 I will not put personal profit or
advancement above my duty to
my patient
.

Basi hospitali binafsi zingekuwa hazitozi faida katika huduma zao
 
Acha kukariri utumbo. 2015 inahusikaje na maslahi ya wasomi kama madaktari? Au kwasababu wao hawana njia za kupata hela kifisadi kama nyie wanasiasa wachumia tumbo mnaoogopa itakuaje wananchi wakitumia busara zao 2015? Tuna tatizo la uongozi Tanzania na tatizo walioingia madarakani kwa elimu za madesa na nyenzo ndo waamuzi wa hatima ya waTz.
 
MUNGU AWALAANI MADAKTARI WALIOGOMA. serikali imejaribu kusikiliza maombi yao na kuyatatua kwa 60% lkn bado wanagoma. pana jambo hapa. siyo mgomo wa kawaida. kama lengo la hao wanao wasukuma ni kushika madaraka, wasubiri 2015. wakipewa ridhaa watachukua ikulu.

IMEJARIBU lakini haikusikiliza kwa umakini hivyo haikusikiliza mabo muhimu kwa manufaa ya umma......ULAANIWE WEWE mwenye elimu ya kuungaunga na KUIPENDA ELIMU WAKATI ELIMU HAIKUPENDI.
 
kushabikia mgomo wa madaktari ni kushabikia vifo vya watanzania maskini
 
wewe nenda nawewe ukaape halafu yakupate yanayowapata.hebu emagine,madaktari wamegeuka kuwa watu wa kufanya mambo ya ajabu ili wapate mkate wa kila siku.ndiyo,wanachangia sana suala la utoaji mimba maana wanapata pesa,lakini kiukweli hawapendi wafanye hivyo.serikali yetu ya magumashi na madili,imepandiliza icho kitu kwenye akiri zetu.mwenyewe hapo unaishi kwa madili na magumashi tena haramu kabisa.
 
Samahani ndugu naiba wa Spika, hivi mimi ni Wizi Mkuu au nani, oohh sorry maana jana nilisema ntatoa tamko lakini nikakuta nimeingilia uhuru wa Maha-kama, hivi kweli sikujua kuwa kwa kusema vile naingilia uhuru wao au ilikua ni Hangover tu ndugu wazi-mkuu? sorry kumbe mimi ndio wazi-mkuu, I meant ndugu Supika? Hili koti la uwizi kama vile sio langu vile...mana kila siku nalisahau...aaah tuyaache hayo, Hivi unajua wewe dogo Tundu nakushesimu sana, usiniache nikufanye kama nilichomfanya yule jamaa juzi....sorry naona umekoti vibaya!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mnaokumbuka mtatuelewesha zaidi....

Hippocrat oath 425 BC,
inasemaje? nakumbuka
chache,I promise that my
medical knowlegde will be
used to benefit peoples
health,Patients are my first concern, I will listen to them
and provide the best care i can,
i will be honest,respectful, and
compassionate toward
patients. 2,I will do my best to
help any one in medical need. 3 I will not put personal profit or
advancement above my duty to
my patient.

The oath is one thing; Hypothetical, theoretical; in the ideal situation; based on the economical principle of everything being equal, Ceterius peribus in greek!. Now what about the real life, the practical world?!! Kwamba kuna vifaa na miundo mbinu vya kutosha pamoja na huduma muhimu kwa watoa huduma wenyewe ikiwa ni pamoja na maslahi na mazingira bora ya kazi.
Je kuna waliokula kiapo cha kuhujumu uchumi, kutafuna pesa za wavuja jasho, waon wale na kuishi vizuri?! ni kiapo tu cha madaktari ndio nongwa wengine wote ruksa?! acha utani wa aina hiyo muungwana.
 
Wacha ubaradhuli nyie wabongo hicho kiapo kisiwazengue bure, ?
Kiapo chenyewe una sema ni cha mwaka 425 BC ? Mungu wangu mpaka leo mazingira ni yale yale, Daktari ashindwe kusomesha watoto wake sababu ya kiapo, ashindwe kulipia nyumba nzuri ya kupanga sababu ya kiapo.
Kiapo, kiapo , mbona tunakuwa watu tusio na akili, hata muuza mitumba ana afadhari zaidi ya Dr.
 
Back
Top Bottom