Kaizer Platinum Member Sep 16, 2008 25,320 17,822 Jul 21, 2012 #181 Bishanga said: Mwenzenu sijasoma kurasa zote za uzu huu,nauliza tu , hivi @ hii thread @ smile kaiona? Click to expand... Usiombe Smile aione Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Bishanga said: Mwenzenu sijasoma kurasa zote za uzu huu,nauliza tu , hivi @ hii thread @ smile kaiona? Click to expand... Usiombe Smile aione
Kaizer Platinum Member Sep 16, 2008 25,320 17,822 Jul 21, 2012 #182 Asee kamanda moshi mawasiliano yakoje sasa? Maana hiyo ya kukukiss ukiendekeza unapigwa invoice ya vocha kwa kuanzia Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Asee kamanda moshi mawasiliano yakoje sasa? Maana hiyo ya kukukiss ukiendekeza unapigwa invoice ya vocha kwa kuanzia
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,709 Jul 21, 2012 Thread starter #183 Kaizer said: Usiombe Smile aione Click to expand... Amezoea kupiga mizingaeeee!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Emma. JF-Expert Member Jun 25, 2012 19,935 5,558 Jul 21, 2012 #184 Ushauri wangu mwanamke anayetaka pesa ..akaolewe na mabenki na m.pesa.
Kamanda Moshi JF-Expert Member Apr 1, 2012 1,876 2,654 Jul 21, 2012 #185 Kaizer said: Asee kamanda moshi mawasiliano yakoje sasa? Maana hiyo ya kukukiss ukiendekeza unapigwa invoice ya vocha kwa kuanzia Click to expand... ha ha haaa..niendekeze wapi, niliachana naye mara moja maana niliona anataka kuniona mie kibuz chake...wanawake wengine wakuu akili zao zero kabisa..
Kaizer said: Asee kamanda moshi mawasiliano yakoje sasa? Maana hiyo ya kukukiss ukiendekeza unapigwa invoice ya vocha kwa kuanzia Click to expand... ha ha haaa..niendekeze wapi, niliachana naye mara moja maana niliona anataka kuniona mie kibuz chake...wanawake wengine wakuu akili zao zero kabisa..
S Seif al Islam JF-Expert Member Nov 14, 2011 2,156 638 Jul 21, 2012 #186 Matokeo yake ndo hayo mtu anakuinamisha hata kwenye foleni ya magari anaku....... Just because wewe ni tegemezi
Matokeo yake ndo hayo mtu anakuinamisha hata kwenye foleni ya magari anaku....... Just because wewe ni tegemezi