Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,433
- 633
Ndugu zangu kutokana na kumbukumbu zangu leo ni siku ya kesi ya viongozi wetu huko Arusha,kwa taarifa niliyonayo watu wengi hivi sasa wanaelekea mahakamani kusikiliza mashitaka ya viongozi wetu.
Hasa kukiwa na tetesi kuwa inawezekana wakasomewa mashtaka mapya hivi leo,tafadhali mlioko Arusha tunaomba taarifa.
Hasa kukiwa na tetesi kuwa inawezekana wakasomewa mashtaka mapya hivi leo,tafadhali mlioko Arusha tunaomba taarifa.