Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wakubwa wote shalom kwa mpigo.Kuna siku mtu makini sana kule Bungeni ndugu Lissu alichaniwa nguo na kutupwa korokoroni kule Tarime akiwa anatenda haki.Alifikishwa Mahakamani na kesi ikawa inaunguruma je iliisha je ile kesi jamani kuna mwenye taarifa?