tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Jana nlikuepo court watuhumiwa wamekata tamaa,sasa hivi ni utetezi wao binafsi ili kila mtu ajinasue peke yake..leo dreva wa sharifu amesema hamjui sharifu na cku ya mauaji alikua babati
Naskia ni master kitambo,hata mredi nae alikua jambazi wakti anakamatwa alikua katoka kifungoni kma miezi miwili hiviWataenda kuozea jela huyo karim anaonekana ndy shuguli zake kutoa rohoo za watu Sura yake anaonesha hajali
Ova
inavyosemekana sababu hasa za mauaji haya ni nini?Asingepata kesi angekua mbali sana pia ungekuta mgodi wke umepata production,manga yuko juu yke sana
Jana nlikuepo court watuhumiwa wamekata tamaa,sasa hivi ni utetezi wao binafsi ili kila mtu ajinasue peke yake..leo dreva wa sharifu amesema hamjui sharifu na cku ya mauaji alikua babati
Huyo chusa ni mfanyabiashara wa madini alikua na ugomvi na marehemu wakuzulumiana mawe na marehemu alikua akichukua mzigo harudi na hela ikawauma ndio akafanyiwa ivo kiujumla alikwa mzulumati acording to radio mbaoWajuvi wa mambo mtujuze.
Huyu bwana Chusa ni nani? Mbona ametajwa na kila aliyetoa ushahidi lakini hayupo miongoni mwa washitakiwa. Huyu bwana ni nani? Alikuwa na mahusiano gani na Msuya na kwanini Msuya aliuawa?
Nawasilisha.
Maneno ni mengi ila ni kuingiliana kwenye biashara,mana wanunuzi wa madini bila kua na network kupata riziki ni ngumu sana,marehemu alikua na network kubwa nae sharifu alikua anakuja juu kwa kasi sanainavyosemekana sababu hasa za mauaji haya ni nini?
Chusa hayupo kwenye hiyo case,mauaji yote yamefanywa na sharifu ndio mwenye caseDuh aisee hii ngoma ya moto bado. jamaa wapo ndani tokea 2013. Lazima wamechoka aisee. Kwa maono yako kama Chusa hana kesi na Sharif kakataa ushahidi na dereva anamkataa Sharif.
NANI SASA KAFANYA TUKIO??
Kila mtu anasema lake hapa....Nyuma kabisa mwenye kibaragashia cheupe
Huyu Chusa ni wa Arusha Kwa mrefu au?Hii case toka mwanzo walikua wanataka chusa wamuingize kwa vile ndgu wa marehemu ndio walikua wanamtaja,upelelezi wa police ulionyesha sharifu hakuwahi kwenda magereza au hosp ya manyara kumuona chusa ndio mana case ikawaangukia wahusika tu
Shérif ana mpunga mzito Kumbe hivi anaweza mpita martias manga
Ova
Hizo ni story za redio mbao,chusa ni mchimbaji yani appolo kwa lugha yetu huko,marehemu alikua broker au gemstone dealer,jiulize kma walikua na ugomvi sharifu alitokea wapi kubeba ugomvi ambao umekuja kumpa case ya mauajiHuyo chusa ni mfanyabiashara wa madini alikua na ugomvi na marehemu wakuzulumiana mawe na marehemu alikua akichukua mzigo harudi na hela ikawauma ndio akafanyiwa ivo kiujumla alikwa mzulumati acording to radio mbao
Chusa ni yule anaishi Kwamrefu Arusha?Mwenye kofia hpo kati
Ndio unaingia kulia kwako kma unatokea mjiniChusa ni yule anaishi Kwamrefu Arusha?
Mkuu naomba maoni yako ktk hii kesi,nimekua nakufuatilia sana toka msiba wa Seki na haya mauji, unaonekana unajua vitu /mambo mengi sana ya wadau wa madini huko arusha,AhsanteChusa hayupo hpo unaowaona ndio full squad ya mauaji
kama ni kweli walitenda, watakuwa wanajuta kwa walichokifanya sababu wamekaa ndani muda mrefu na hawakutarajia kama wangefika stage hii.Maneno ni mengi ila ni kuingiliana kwenye biashara,mana wanunuzi wa madini bila kua na network kupata riziki ni ngumu sana,marehemu alikua na network kubwa nae sharifu alikua anakuja juu kwa kasi sana
Umdhaniye....Wataenda kuozea jela huyo karim anaonekana ndy shuguli zake kutoa rohoo za watu Sura yake anaonesha hajali
Ova
Watuhumiwa sita hatuwajui ila sharifu angekua mbali sana kiuchumi mana alikua anakuja juu kwa speed,miezi 4 kabla ya tukio alinunua nyumba mjini kati kwa 750mkama ni kweli walitenda, watakuwa wanajuta kwa walichokifanya sababu wamekaa ndani muda mrefu na hawakutarajia kama wangefika stage hii.