MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 130
- 263
Kaka na dada zangu, mama ba baba zangu, mliopo kwenye ndoa na msio kwenye ndoa. Nimekuwa ni ki post nyuzi nyingi sana apa JF.
Lakini Kuna kitu kina nisibu apo siku ya kesho nitashusha uzi mnishauri kama mdogo na mtoto wenu. Muokoee nafsi yangu mana nipo hatua mbaya sana.
Lakini Kuna kitu kina nisibu apo siku ya kesho nitashusha uzi mnishauri kama mdogo na mtoto wenu. Muokoee nafsi yangu mana nipo hatua mbaya sana.