Wakenya wabunifu.......huwezi kuwakuta wakitangaza kipuuzi kama hawa wetu........hata commercial zao zimeenda shule......sio kama za kina Majuto na magodoro Dodoma........kichefuchefu kitupu.........
Kuna yule wa taarifa ya michezo khaaaaa ...ana misamiatiii anavuta sauti... nikimsikia tu nahamisha station..jina lake limenitoka sikapendi..nachefukwagaa
Mi ripota anayenikosha kwa mbwembwe zake ni yule Ja te te Njoroge wa Citizen
Nakuunga mkono mkuu. japo sija check coment za wengine na nafahan anaripitia mkoa wa Mara, mimi nasema anakera sana hasa kipindi kabla ya uchaguzi, anavuta maneno wakati watu tuna tune 40mins kuskiza habari, instead anapaswa ku rise hoja ama maswali kwa kifupi yenye majibu ya kina ama detailed information kuhusu ishu fulani, mbwembwe zake zilikuwa hot at 1900's years bt not this decade
Kumbe watz wanamfahamu Gatete Njoroge wa Citizen,ningependa sana kuwatazama watangazaji wa tv. za tz nao pia huku Kenya. Sasa sijui kama mnamfahamu huyu Hassan Juma wa KTN ananiudhi sana na bass yake ingine feki feki,duh!meno yake yote yataanguka chini siku moja,nangoja hilo sana,haaasaaaaan juuumaaaaaaaaaah,ktn michezo!Argh!
Haha!Unavoeleza ata mimi nimeanza kumchukia na hata simjui.Hivi naeza pata news za itv kwa net?yuko itv au?
Hapana mi nawafahamu wa Citizen tu, hahahahahaha hilo swala la meno limenichekesha sana lol
Si mzaha mkuu ukimwona anavyojilazimisha kutoa hiyo bass ni comedy tosha,duh!anatokwa na mishipa kwa shingo na kichwani huku amejikaza kama anataka fanya tackle ya mchezo wa raga vile ni haaasaan anavuta akimalizia jumaaaaaaaaaaaah KTN michezo.Huwa anananiudhi lakini namuonea huruma bado kwa kujilazimisha vile,atakuja wacha mzigo unaotoa mvuke uwanjani.Walai mkuu
kwa net sijajuwa kama wana link ila yuko ITV, he is very local yani. afadhali kidogo mwenzake aliye ripotia geita na mwanza kipindi hiki cha kuhesabu kura baada ya buhohela
kwa net sijajuwa kama wana link ila yuko ITV, he is very local yani. afadhali kidogo mwenzake aliye ripotia geita na mwanza kipindi hiki cha kuhesabu kura baada ya buhohela
Hahahahahaha natamanije kumsikia sasa! Mkuu we kiboko kwa kuponda