Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Mpwa nimetafuta nafasi tangu jana jioni hapa.............
......sipati picha kamili......! this event is very emotional hapo Uhuru Park......aisee!
Mpwa nimetafuta nafasi tangu jana jioni hapa.............
Sasa wimbo wa taifa la Kenya unaimbwa...Tanzania tunawakilishwa na Rais Karume wa SMZ na Rais Mstaafu Benjamini Mkapa
Hawa jamaa wameleta hadi gwaride la vifaa vizito vya kijeshi duh!
Mkuu Shadow na Kazier asanteni sana kwa hizi updates.
Yaani alieko madarakani ndie alietakiwa awepo ili ajifunze amewapeleka ambao hawahusiki na majukumu ya nchi ya kila siku si angempeleka PM?
hawa wacheza ngoma wanafurahisha sana ingwa hawawafikii wamakonde wetu
zamu ya watu wa pwani na mchanganyiko wa mataifa mbalimbali. Sasa zamu ya 'National Youth Orchestra' kumbuka kenya wazungu pia ni wengi.
hawa wacheza ngoma wanafurahisha sana ingwa hawawafikii wamakonde wetu