kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,318
- 12,622
Mpira hauchezwi kwenye mwendokasi. Unakaribisha sonona kama usipopata matokeo
View: https://www.youtube.com/watch?v=q5XPwqG7Y-4
View: https://www.youtube.com/watch?v=q5XPwqG7Y-4
Mpira hauchezwi kwenye mwendokasi. Unakaribisha sonona kama usipopata matokeo
View: https://www.youtube.com/watch?v=q5XPwqG7Y-4
anapuyanga, kaachana na mis misondo. Jwaneng wamuonee huruma Ahmed tu, bao moja tu linatosha.Dogo anajitahidi Sana . Ni one man army 🪖 naona kama ametelekezewa timu au viongozi wake wengi ni wazee ambao hawajui umuhimu wa promotion na kutengeneza propaganda. Kule kwenye utopolo wapika propaganda ni wengi na viongozi nao ni masela nondo wananyambulika. Huyu yupo katikati ya msitu wa ma concervative lakini ana survive
Angemleta Misso Misondo mngesema hana jipya, Hamridhiki watu 🤣🤣🤣anapuyanga, kaachana na mis misondo. Jwaneng wamuonee huruma Ahmed tu, bao moja tu linatosha.
Ukiweka ushabiki pembeni, umchukulie kama kijana Mtanzania anayepambana ni kweli anajitahidi Sana kutimiza wajibu wake mbali na mazingira magumu anayofanyia kazianapuyanga, kaachana na mis misondo. Jwaneng wamuonee huruma Ahmed tu, bao moja tu linatosha.
Mpira hauchezwi kwenye mwendokasi. Unakaribisha sonona kama usipopata matokeo
View: https://www.youtube.com/watch?v=q5XPwqG7Y-4
Huku ni kuwaomba mashabiki waje uwanjani kwa kumruhumia Ahmed Ally sio kwaajili ya timu. Timu inavyocheza haivutii mashabiki kuishobokea. Matokeo mazuri na kandanda safi ndio ndele ya kuvuta watu kwenda viwanjani. kazini kwake kuna kazi. Uongozi wamesajili wachezaji wa mchongo ambao wanamfanya Chama aendelee kuwavimbia kikosini.Angemleta Misso Misondo mngesema hana jipya, Hamridhiki watu 🤣🤣🤣
Mpira hauchezwi kwenye mwendokasi. Unakaribisha sonona kama usipopata matokeo
View: https://www.youtube.com/watch?v=q5XPwqG7Y-4
😂😂😂😂😂NIMECHEKA SANA,FC ATLETICO DE MAKOLO
Samahani, nje ya mada. Hovi sister umeolewa? Ngoja nije inbox.Pale wapaka piko na wavaa misuli wanapocheka mwanaume akiwa kazini...
Mbona nyie mlivyovalishana vijola,kuvishana shanga viunoni na ku bleach nywele hatukusema kitu? Kausheni kila mtu ashinde mechi zake.
View: https://www.youtube.com/watch?v=9RnKJZ4l9_E
kumbe ndio maana amendika matangazo yake ya mo hadi kwenye makalio, pale kwenye makalio ndio kuna mo foundation.
Unadhani anaweza kufanya hizo promo bila kupewa fungu? Kwani upande wa pili umeshawaona kina Mtime na Hersi wakishiriki katika promo za kina Kamwe?Dogo anajitahidi Sana . Ni one man army 🪖 naona kama ametelekezewa timu au viongozi wake wengi ni wazee ambao hawajui umuhimu wa promotion na kutengeneza propaganda. Kule kwenye utopolo wapika propaganda ni wengi na viongozi nao ni masela nondo wananyambulika. Huyu yupo katikati ya msitu wa ma concervative lakini ana survive
Kapuuzi kweli kweli!!pamoja na kwamba ni shabiki wa Simba lakini haka kajamaa huwa sikafuatilii kabisa tangu kwa saga la Manzoki
Kapuuzi kweli kweli!!
Hii sio nje ya mada, kazini kwa Ahmed kuna kazi. Wakati Ahmed anawaunganisha wanachama na mashabiki mo anawaparaganyisha wakati huohuo. Kulikuwa na sababu gani mo kupost sasa jambo la kuinunua timu ya simba wakati focus iko kwenye mchezo na jwaneng?Nje ya mada