Ni kweli kabisa mkuu sema serikali haijaamua kuchukulia serious hili swala. Humu jukwaani naamini tuna watendaji wakuu wengi sana wa wizara tofauti tofauti za serikaliHivi hakuna kiongozi Serikalini anayepitia hizi kilio cha wananchi kwa manufaa mapana ya Taifa? Naamini biashara ya online ikisimamiwa vyema ni fursa ya ajira kwa wananchi na chanzo cha mapato kwa serikali
Yaani hii serikali, we acha tu! Sasa si kutiana hasara huko!! Manake kwa kufanya transfer ya mafungu I bet umeingia gharama maradufu kuliko kama ingekuwa ni single transfer!!
Kazi tunayo safari hii!!
Punguza sefuri mjomba ni US$ 150 siyo 150K ni utz huoMkuu Chige ,yaani nataka kutuma 150K US$ huko nyymbani,naambiwa hazitafika,nitachapwa na fimbo ya "money laundering".
Nimetuma 150K US$ kwa mafungu 30,ndio salama yangu.
No wonder unashindwa hata kuandika Kiswahili kwa ufasaha!! Sefuri ndo dudu gani? We kweli Kalikalanje!!!Punguza sefuri mjomba ni US$ 150 siyo 150K ni utz huo
Najitahidi kukuelewa ingawaje swali lako halijakaa vizuri kwavile hakuna uhusiano wa moja kwa moja katika kushusha au kupandisha thamani ya shiling over USD!!Naomba kuelimishwa: Kutuma hela kwa Paypal au Kupokea hela kwa Paypal. Kipi kinashusha thamani ya Shilingi ya Tanzania, na kipi kinaongeza thamani Shilingi ya Tanzania, ukilinganisha na dola ya Marekani?
Pesa zitatua kwenye namba za simu za Tigopesa,Mpesa nk kutoa wataendelea kuchaji kama kawaida tu Hakuna watakachopoteza wenye kampuni za Mpesa,Tigo pesa nk sana sana idadi ya miamala itaongezeka na faida kwao itaongezeka na TRA wataongeza mapato sababu kila ukitoa pesa TRA nao chao hupata kwenye huo muamala
Tumechoka na habari za kuibiwa kura kilichotokea ni kwamba mlidhibitiwa na upuuzi wote wa kutaka kuharibu uchaguzi,, poleni sana,,, hivi kama mliibiwa mbona hamuendi huko ICC na kwa baba zenu mabeberu kama mnao ushahidi?? Jeshi na polisi walikuwa kwa ukaribu ili kuhakikisha hao wavuta bangi wa kusubiri au kulinda kura mita 200 wasijaribu,,, ulisikia wapi duniani ati kulinda kura sii bangi hizo LETENI VIDHIBITI msiwe kama Trump,,,
Asante sana Chige, perfect Explanation! Watanzania tupende elimukama hizi ili tufanye maamuzi ya busara. Hatuwezi kujitenga na mfumo wa kidunia tukitaka kusonga mbele kiuchumi.Najitahidi kukuelewa ingawaje swali lako halijakaa vizuri na halina uhusiano wowote katika kushusha au kupandisha thamani ya shiling over USD!!
Hata nitajitahidi kukuelewa kwa kusema kwamba, kama PayPal TZ ingekuwa ina-receive pesa (being paid through PayPal) halafu Watanzania wakachangamkia online business kwa kuuza bidhaa mbalimbali kupitia mitandao kama eBay, Amazon, AliExpress and the like, it means wangekuwa wanalipwa in terms of USD!
Sasa kama hizi transaction zinakuwa kubwa, it means zitaingiza ndani more USD! Sasa kwavile uchumi wetu unatumia TZS, ina maana hao Sellers wa Kibongo wangelazimika ku-convert hizo USD to TZS na hivyo kutengeneza demand for TZS ambayo in turn ingepandisha au ku-stablize bei ya TZS over USD!!
Lakini kwavile our PayPal inatumika tu ku-SEND money, and assume Watanzania wangekuw wanafanya sana manunuzi mtandaoni, ina maana hapo wangekuwa wanafanya import business!! Sasa kwavile wengi wana local currency accounts, ina maana kufanya hayo manunuzi watatakiwa kufanya conversion from TZS to USD na hivyo kutengeneza Demand for USD!!
Simple Economic Principle inasema high demand of products and/or service inasababisha kupanda bei kwa bishaa husika! Na kwavile hapo kungekuwa na demand for USD, ina maana bei yake ingekuja kuwa juu, na hivyo kushusha thamani ya TZS over USD!!
Ndo maana katika hali ya kawaida, nchi ambayo inauza sana nje currency yake inakuwa strong na thamani kubwa na inayonunua sana nje inakuwa kinyume chake!!
kwa serikali kutoruhusu watu kupokea pesa toka paypal kunashusha thamani ya pesa sababu sisi tunakuwa watumia pesa tu za kigeni sio wapokeajiNaomba kuelimishwa: Kutuma hela kwa Paypal au Kupokea hela kwa Paypal. Kipi kinashusha thamani ya Shilingi ya Tanzania, na kipi kinaongeza thamani Shilingi ya Tanzania, ukilinganisha na dola ya Marekani?
Labda hao watawala watakuelewa maana we Ni mwanalumumba mwenzao. Badala ya kupiga hatua, nchi inarudi nyuma sabb ya sera za KIJIMA kama hii ya kuzuia PayPal. Incredible!!!Kuna shughuli nyingi za ujasiliamali online. Kikwazo kwa nchi yetu ni upataji wa pesa wa kazi yako au mauzo yako online. Bado tuko enzi za mawe tukiamini minjia ya kizamani ya kupokea hela. Na hivyo kuifanya nchi yetu kuwa ni ya kulipa zaidi pesa za kigeni na si ya kupokea pesa za kigeni.
Sasa kama wameweza fanya hivyo kwa MPESA unafikiri watashindwa ku impose makodi makubwa huko Paypal?Paypal ni nzuri sana na ita boost sana our economy. Lakini hicho ndo kitakuwa kifo cha mpesa,tigopesa etc. Paypal gharama ya kutoa pesa ni kama bure...wakati mpesa ukitoa 10000 wanakata 1300...zaidi ya 13%.
Serikali ndo chanzo cha makato ya miamala kuwa kubwa.
Serikali haiwezi kukubali kupoteza hii pesa.
Ni kazi ya serikali kuweka kanuni na sheria zake sawa.Swali langu ni je ni nani anatakiwa kuanzisha hiyo paypal ? ni serikali au makampuni binafsi? kuna kuna kampuni iliwahi leta maombi na ikakataliwa? kama ilikataliwa serikali ilitoa sababu gani za kukataa.
Kama kweli hivyo ndivyo, kwa nini basi unadhani watoa maamuzi walitoa maamuzi hayo?kwa serikali kutoruhusu watu kupokea pesa toka paypal kunashusha thamani ya pesa sababu sisi tunakuwa watumia pesa tu za kigeni sio wapokeaji
ina maana utafute mfano dola toka vyanzo vingine ulipie bidhaa au huduma wakati wewe huingizi dola toka nje!!!
Kupokea pesa kutafanya hela yetu iongezeke thamani
Umelijibu swali la kipi kinashusha thamani ya shilingi. Na kipi kinaongeza. Unakisia ni kwa sababu zipi za uamuzi wa kuzuia kupokea hela za paypal TZ? Na nani chanzo: Tanzania au Paypal?Najitahidi kukuelewa ingawaje swali lako halijakaa vizuri kwavile hakuna uhusiano wa moja kwa moja katika kushusha au kupandisha thamani ya shiling over USD!!
Hata nitajitahidi kukuelewa kwa kusema kwamba, kama PayPal TZ ingekuwa ina-receive pesa (being paid through PayPal) halafu Watanzania wakachangamkia online business kwa kuuza bidhaa mbalimbali kupitia mitandao kama eBay, Amazon, AliExpress and the like, it means wangekuwa wanalipwa in terms of USD!
Sasa kama hizi transaction zinakuwa kubwa, it means zitaingiza ndani more USD! Sasa kwavile uchumi wetu unatumia TZS, ina maana hao Sellers wa Kibongo wangelazimika ku-convert hizo USD to TZS na hivyo kutengeneza demand for TZS ambayo in turn ingepandisha au ku-stablize bei ya TZS over USD!!
Lakini kwavile our PayPal inatumika tu ku-SEND money, and assume Watanzania wangekuw wanafanya sana manunuzi mtandaoni, ina maana hapo wangekuwa wanafanya import business!! Sasa kwavile wengi wana local currency accounts, ina maana kufanya hayo manunuzi watatakiwa kufanya conversion from TZS to USD na hivyo kutengeneza Demand for USD!!
Simple Economic Principle inasema high demand of products and/or service inasababisha kupanda bei kwa bishaa husika! Na kwavile hapo kungekuwa na demand for USD, ina maana bei yake ingekuja kuwa juu, na hivyo kushusha thamani ya TZS over USD!!
Ndo maana katika hali ya kawaida, nchi ambayo inauza sana nje currency yake inakuwa strong na thamani kubwa na inayonunua sana nje inakuwa kinyume chake!!
Kwa mtazamo huo. Hata kama PayPal na payment processors wengine hawaoni potential kubwa kwa Tanzania, ni vema Serikali yetu kuwavuta waje kufungua huduma kwetu kwa kuzingatia maslahi mapana ya uchumi wa nchi na ajira kwa vijana.Ni ngumu kidogo ku-conclude nani chanzo, kwenye moja ya posts za jana, chini kabisa nilijaribu kueleza kwa ufupi:-
So, haijalishi tatizo ni nani... iwe PayPal au Mifumo/Sheria/Kanuni zetu, kwa nchi kama Tanzania ambayo haipo blacklisted, serikali ina nafasi kubwa sana, tena sana ya kurekebisha hali!!!
Tanzania hatuna uchumi wa kutisha, hususani ule unao-attract sana online businesses kiasi cha kuwashtua PayPal na kuwafanya wa-struggle kutoa full PayPal Services kwa nchi yetu lakini sisi wenyewe, kwa maana ya serikali wakiona huo umuhimu basi wanaweza ku-settle out obstacle yoyote bila kujali kama ipo upande wetu au upande wa PayPal!!
Ni kweli DIGITAL business sasa hivi ndio inaongoza kwa kutoa mabilionea wanawapita hata wanaofanya biashara ya mafuta na madiniKwa mtazamo huo. Hata kama PayPal na payment processors wengine hawaoni potential kubwa kwa Tanzania, ni vema Serikali yetu kuwavuta waje kufungua huduma kwetu kwa kuzingatia maslahi mapana ya uchumi wa nchi na ajira kwa vijana.
Mwelekeo na hali ilivyo kwa sasa duniani uchumi kwa sehemu kubwa unahamia DIGITAL
Ndugu, watu wanafanya transactions za 400K US$,wewe unafikiri ni utani. Pole kwa kuwa masikini wa akili, elimu na kipato.Punguza sefuri mjomba ni US$ 150 siyo 150K ni utz huo